Waliosoma bachelor of information technology
Naomba msaada maana nimechaguliwa NIT kwa kozi hiyo
Tatizo sijui inadili na nini pia soko la ajira kwa hiyo kozi maana najifikiria kubadil kozi
Wakuu jana nlikaa na mzee wa Kihehe, nikamuuliza kuhusu wao kuhusishwa na kula securiter a.k.a wuuwuu ze dog na alichonojibu ni hiki hapa
Basi hapa Wajerumani wakajua amekul ugali na dogi yaan mbwa ze wuuuuuwuuuu, uvumi ukaanza vuma hapo" hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nam leo mzaramo ila nakula...
Umbile la Nyumbu (Wild Beast). Nyumbu ana maumbile ya wanyama kadhaa;
1. Miguu ya nyuma na kiuno ni umbile la Fisi;
2. Mkia ni umbile la Farasi
3. Michirizi ya Pundamilia
4. Pembe ni za Nyati
5. Ndevu ni za Pofu
6. Nywele za mgongoni ni za Pundamilia.
7. Nyumbu kwa jina lingine anaitwa "Zero...
Wakubwa naomba ushauri,kuhusu rafiki yangu mmoja tulisoma wote o level, kipndi kile alikuwa na mpenzi wake na walipendana sana yaani, na yeye ndiye aliyemtoa bikra ila baada ya muda wakaachana na ni muda sasa.
Kwa muda huu yule msichana anaonesha kunipenda kwa asilimia mia, nami nampenda ila...
Nasema hviii ctak kusikia k2 knachoitwa sapraizi tena ctak heti nsikie kam2 kanasema "ooh bebi nataka nkusapraiz" ctak tena ctakii,unajua kwa nn,kun mwanariaza mmoja wa sauz kwa mandela alikua na kamanz kake akakaua bila ya kukusudia kwa bunduk,tena cku ya valentine kwa kuzan n m2 kaja...
jaman nimepata habar kwa walohitimu jkt mwaka huu wanasema kua kwa miaka ijayo watakao enda jesh kwa mujbu wa sheria watakaa kwa miez sita badal ya mitatu,kam n kwel jaman
kun faida gan kwa serikal kufany hvyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.