anza kununua bulb za rangi mbalmbal,vifaa vnavitumia kutengeneza umeme kama tester,chisel,sugetion bx,n.k maisha mtelezo illa usihonge sanw utafilisi mtaji
Wana jamii, nauliza kuhusu haya maswala ya umeme mimi nasomea umeme hapa veta lakini nipo beginner mi naulza kwamfano nikimaliza kozi yangu serikali itatuchukua au mimi mwenyewe nitafute kazi au kule jeshini watanikubalia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.