wadau wale walioomba mikopo heslb, majina ya watu waliokosea baadhi ya vitu yametoka na mwisho wa marekebisho ni tarehe 10 mwezi wa tisa tembelea website ya heslb kuangalia jina lako kama lipo na baadhi ya vitu hivyo ni kama:-
kutosaini mdhamini.
mwombaji kutosaini.
kusahau kuambatanisha vyeti...
wana JF msaada wa ushauri kwa mtu aliyefanya mtihani mwaka 2012 na matokeo yake yakawa hivi geography D, History D, kiswahili E na GS kapata F anaweza chaguliwa kujiunga na Elimu ya chuo kikuu ?.
samahani wanajukwaa naomba ushauri, nlifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidate combination ya HGK mwaka jana matokeo ya ngu nlikuwa nna III ya point 13 ingawa GS nlipata F naombeni ushauri ninaweza kupata chuo endapo ntafanya selection au itanlazimu kufanya mtihani pia wa GS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.