kuweni makinin katika kuomba mkopo kuanzia viambata vyote vinavyotakiwa bila viambata sahihi kama ulivyojaza fomu yako online huwezi pata mfano umesema mzazi wako ni mlemavu then kwenye fomu hujaambatanisha supporting document ujue umeumia so kuweni makini
huna akili wewe ukitaka tembea uchi kabisa afu sema ni tamaduni ya kabila lako au zaa wako waache wavae nusu uchi me nadhani wewe unaruhusu akili ndogo iongoze kubwa
wadau wale walioomba mikopo heslb, majina ya watu waliokosea baadhi ya vitu yametoka na mwisho wa marekebisho ni tarehe 10 mwezi wa tisa tembelea website ya heslb kuangalia jina lako kama lipo na baadhi ya vitu hivyo ni kama:-
kutosaini mdhamini.
mwombaji kutosaini.
kusahau kuambatanisha vyeti...
wana JF msaada wa ushauri kwa mtu aliyefanya mtihani mwaka 2012 na matokeo yake yakawa hivi geography D, History D, kiswahili E na GS kapata F anaweza chaguliwa kujiunga na Elimu ya chuo kikuu ?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.