Abari za kazi,nina tatizo la mkojo yani kuna wakati nakojoa mkojo kma wa moto vile unaambatana na maumivu kwa mbali,lakni wakati mwingne nikinywa vitu kama maji,bia nakojoa mkojo wa kawaida tena mweupe,hospt walicheki wakaniambia huna tatizo,naombeni msaada wenu ndugu zangu.
Jamani wadau asalam maleko wakubwa,nina mchumba wa kiaya me mchaga,tatizo lake ni wivu uliopindukia kosa asione jina la kike kwenye phne book yangu tatzo,nsipigiwe cm ata na dada pamoja na kwamb wanafaamiana,akipig nsipopokea ugomvi,kila akishika cm faster ni kwenye msg,akizikuta ni shda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.