rais safi sana huyu mchapa kazi mnoooooooo...mlishwahi sikia raisi anachoka hadi anazirai majukwaani?? anachapa kazi kuelewa matatizo ya watanzania... poor him he don't have the needed handful of normal brain!! Tarehe saba KAKA atashukia home kwake kabisa au? Anaweza ata akavaa jezi ya brazil...
mzee mm i wish you all the best. Katika CCJ lipi mnaliona ni tatizo kubwa kati ya ujinga, maradhi, umaskini na ufisadi? Nimekuwa nikichukulia ujinga kama ni kubwa by far. What do you or CCJ perceive? How do you plan to tackle the problem and what are the expected levels of achievement?
cheers
WanaJF,
Je Tanzania ikipunguza matatizo ya rushwa mambo yatanyooka? Naona kuna tatizo flani sugu. Tamaduni yetu ya watu wenye akili kulenga kwenda university na hatimaye mara nyingi kutafuta ajira ya mshahara sio mojawapo ya vikwazo vya Tanzania kuendelea? Mafundi seremala, mafundi wa viwanda...
hii imekaa vizuri sana mkuu. mbayuwayu wamemtikisa sana mkwere so far. nina imani mbayuwayu hawatatulia, tena walivo wepesi! wanajipanga tu watamsumbua mkwere hadi atajuuuuuuuuuuuuuuta kuwaongoza mbayuwayu!!
kwa namna yoyote ile hata kama tucta hawatarudisha mgomo mi nadhani hakuna kurudi nyuma...at least it was something. Utawala wa kikwete umetaabika kwa namna moja au nyingine, kuja kutoa hotuba ya namna ile ni desperations!! Watanzania waoga sawa lakini woga ndo unaisha kidogokidogo hivo. Kuenzi...
maprofesa wameonyesha woga wa hali ya juu...walirudi kazini kirahisi mno. walitishwa kuwa mgomo ni batili na kuwa maswala yao yatashughulikiwa wakati wa bajeti. mabadiliko kwa tanzania ni magumu mno. kama wasomi ni cowards je hao kima cha chini? nimeongea na baadhi yao wenyewe wanadai kweli...
Mtweve nakuunga mkono. Demokrasia penye rushwa haswa kama ya bongo ni utapeli. Ukipiga kura inaweza ikaibiwa. CCM wanawatishiaga wananchi kuwa wasipoichagua watawatrack kwenye fomu walizopigia kura na kuwashughulikia ipasavyo (nimeshashuhudia hii live). Huwa wanawahonga na kuwalaghai watu...
The actual figure kama wafanyakazi alodai ni laki tatu itakuwa 315,000 x 300,000 x 12(mwaka wa bajeti) = 1,134,000,000,000. Hii ni sawa na trilioni 1.1 yeye aliizidisha mara sita ili iweje...au bajtiu inakuwaga ya miaka sita?? Pesa ambazo anataka kuzitumia yeye kwa tukio la siku moja (uchaguzi)...
ni jambo zuri waziri amefanya kudefend uamuzi wa serikali. BUT na tena BUT kubwa sana, hiyo asilimia 4 ndo watu wamehangaika siku zote hizo kuwa wanabadilisha mikataba kwa manufaa ya mzawa? mimi sijaona huo mkataba, plz kama kuna mwenye access aturushie, au pia kama kuna ambaye anaweza...
nitoe mtizamo wangu japo mimi sio mchumi. takwimu zinaweza kuelezewa vyovyote vile inategemea tu mtu anataka kusema nini. Kipimo cha ukweli wa hizo takwimu ni hali halisi ya eneo husika. kama wanadai kuna maendeleo katika huo uchumi mbona maisha yanazidi kuwa mabaya kila kukicha...huo ukuaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.