Polen na majukumu. Naomba kuelewa kuhusu hawa Reborn tumeomba ajira wanasema tutume hela za certification kwa mwanasheria wao.mwenye uelewa please anijuze.
TIB KUTOA MIKOPO KWA VIJANA; ZOEZI KURATIBIWA NA BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI (NEEC)

Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi, (NEEC), na TIB Development bank, wametialiana saini makubaliano ambayo yatatoa fursa kwa vijana wahitimu wa vyuo vikuu na vya kati kupata fursa...
Habari,-Tunakuhitaji kwenye usaili na mafunzo ya kazi kwa ajili ya nafasi ya kazi uliyoomba.Unatakiwa kuchangia gharama ya Malazi na chakula wakati wa usaili na mafunzo ya kazi ambayo yatafanyika kwa muda wa siku 4 kwa maana ya siku moja(1) ya usaili wa kufahamiana na siku tatu(3) za mafunzo na...
DHAMANA YA AJIRA: Waziri wa Kazi na Ajira, G. Kabaka kwa kushirikiana na benki ya CRDB, awataka wasomi kuweka vyeti vyao dhamana ili kupata mkopo wa ajira CRDB.Mwenye uelewa na hili atujuze mana siwaelewi ndio wanataka watunyang'anye na vyeti?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.