Binafsi huwa sielewi hii sinema ya kubega mizigo mizito ina maana gani.
Kwamba huyo jamaa akiwa anaenda front line kuokoa au kuteka anaondoka kambini, nyumbani akiwa hivyo au ni kututisha raia huku mtaani?.
Mbuzi wanaokaidi sheria za fizikia, kwenye clip hii wanashuka kutoka juu ya mti, hebu wataalam wa yule jamaa yenu mzungu wa kwa nini jiwe linarudi chini kutokana na sijui gravity mara atomy of mvutano, uwanja ni wenu sasa 😂!.
a) Hapa bongoland kuna bikers unaowafaham na wana umoja?.
b) Hakuna anayemsukumia mtu jambo labda huko kwenu, hapa tumetoa mfano wa jambo zuri, lililo zuri uigwa kwa jinsi lilivyo.
c) Mimi nina nafasi yangu ambayo jamii inatambua au unataka niandike ujue?.
d) Fulsa huwezi kuzibeba zote...
Kundi la waendesha pikipiki huko jimbo la Arizona Marekani liitwalo 'Bikers Against Child Abuse' ambalo huwaweka salama wahathiliwa wa unyanyasaji hasa watoto, ikiwa ni pamoja na kulinda nyumba zao usiku ikiwa mnyanyasaji hayupo gerezani.
Pia hawa jamaa huhudhuria mahakamani kushuhudia na...
Hamna mambo ya roho ni dust and dark spirit ndizo zinafanya kazi kwa kasi sana nowadays binti yangu.
Snake generation kinapundia meza miguu juu na kuweka chakula hapo, bila kupepesa macho tafuta andiko lolote linaloweza kumsapoti huyo mwenzako ili nikuunge mkono!.
Yes, yes upo sahihi sana ndg Mtanganyika.
Hizi mambo zipo very organized, hivyo wanaweza kuwa wamewafundisha au kuwapa dawa za kuwaharibu mfumo wao wa kibaiology ili tu wafanikishe agenda yao.
Wakoloni si watu kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.