Nawaona wazee wa kuwamba ngoma mnavyovutia kwenu,yani humu waliopita mujibu wanavutia kwao na raia waliopeleka maombi NGOME nao wanavutia kwao kwa kigezo cha professional...wote mnaweza mkawa wakweli au waongo au pengine mmoja wenu akawa mkweli ila ni suala la muda tu.Hadi sasa mwenye uhakika ni...
Yawezekana ukapata nafasi kama itatokea jeshini kuna upungufu wa fani fulani na wenye umuhimu wa haraka,basi unaweza ukaingia jeshini moja kwa moja bila kupitia jkt.Hivyo probality ni 0.4,but njia iliozoeleka ni kupitia jkt ingawa jeshini hakuna mazoea.
kwa op magu sidhani maana mkuu cdf alisema ajira atawapa kipaumbele op za nyuma...tatizo hii ronja haijulikani ni lini na mwezi gani uhakika ingawa nimesikia soon....kama kweli vijana wanywe maji mengi maana bagamoyo itakua kama kwenda chooni tu na kurudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.