Search results

  1. F

    JWTZ kwanini hawatangazi ajira kwa graduates?

    walichukuliwa graduates wa mwaka gani au randomly?
  2. F

    JWTZ kwanini hawatangazi ajira kwa graduates?

    mwaka jana au juzi kama sijasahau kuna wahandisi walikua wanasema wamefatwa vyuoni humu kama walienda kozi basi sidhani kama kunauhitaji huo kwasasa.
  3. F

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    hii thread ndio kusema imepitwa na wakati au wakati umeipita hii thread?
  4. F

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    wacha nikusaidie ha ha ha ha ha ha ha...ingawa sijui kipi kikuchekeshacho.
  5. F

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    Nawatakia jumapili njema PROFFESIONAL na MUJIBU wote.
  6. F

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    hongereni wote ambao hongera inawahusu.
  7. F

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    kwa mamlaka nilionayo ikiwa ni juma la pili la mwezi wa 10 nawatakia heri ya siku ya Nyerere.
  8. F

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    kwa mamlaka nilionayo natumia nafasi hii kuwatakia heri ya siku ya nyerere.
  9. F

    MBINU:Jinsi ya kujiunga na jeshi la JWTZ na JKT

    vyote ulivyoandika sio kweli mkuu.
  10. F

    MBINU:Jinsi ya kujiunga na jeshi la JWTZ na JKT

    weka ushahidi wa kauli yako.
  11. F

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    Naona mihemko na mizuka imetulia sasa...niwatakie heri ya week ya kwanza ya mwezi wa 10.
  12. F

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    Nawaona wazee wa kuwamba ngoma mnavyovutia kwenu,yani humu waliopita mujibu wanavutia kwao na raia waliopeleka maombi NGOME nao wanavutia kwao kwa kigezo cha professional...wote mnaweza mkawa wakweli au waongo au pengine mmoja wenu akawa mkweli ila ni suala la muda tu.Hadi sasa mwenye uhakika ni...
  13. F

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Yawezekana ukapata nafasi kama itatokea jeshini kuna upungufu wa fani fulani na wenye umuhimu wa haraka,basi unaweza ukaingia jeshini moja kwa moja bila kupitia jkt.Hivyo probality ni 0.4,but njia iliozoeleka ni kupitia jkt ingawa jeshini hakuna mazoea.
  14. F

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    kwa op magu sidhani maana mkuu cdf alisema ajira atawapa kipaumbele op za nyuma...tatizo hii ronja haijulikani ni lini na mwezi gani uhakika ingawa nimesikia soon....kama kweli vijana wanywe maji mengi maana bagamoyo itakua kama kwenda chooni tu na kurudi.
  15. F

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    kipaumbele huja kulingana na mahitaji ya jeshi kwa wakati husika...usiwavunje moyo wasiokua wagambo.
Back
Top Bottom