Ukiishi kwa kujifananisha na watu ujue umekwisha maana hilo suala la kudumaa akili inategemea na mtu mwenyewe !, wapo waliopo kijjn lakini hatua walizopiga kimaendeleo ni zaidi ya wengi ambao wanaishi kwenye mapango ya kulipia kwa mwezi ..
Hivi Simanjiro ni wilaya ya ngapi kimaendeleo katika mkoa ! ? , miundombinu , afya na huduma zinginezo kama za maji na elimu ! , wadau kuna mabadiliko yoyote ! ?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.