huyu seif mpenda madaraka kwanini ajitangazie urais wakati hana mamlaka.wapemba mna tabia mbovu sana .
pemba na unguja imefika wakati tugawane mbao
maalim seif mwache awe rais wa maisha wa pemba.
Ahsante mkuu kwa ombi lako CV ya PROF LIPUMBA hii hapa .now you need to shut up wapenzi wa dr slaa
PROF LIPUMBA
International Trade and Finance, Macroeconomics
Development Economics and Agricultural Economics
His Research Interests/research focus:
Impact of Liberalization of...
wapensi wa dr slaa nimeona nikuwekeeni example ya watu ambao wana real PhD. unlike fake PhD ya dr slaa ambayo kaipata kanisani.
Dr Mohammed gharib bilal
Dr.Bilal completed his primary education at Makunduchi, district of Zanzibar in 1958 and attended his secondary education at Beit-el-ras in...
I am not sure how pemba and unguja unite to be honest with you .I will be happy to see PEMBA to be independence because it will sort out tribalism,devolpment and immigration. katika maendeleo ya visiwa hivi viwili viongozi wanabase zaidi kuijenga unguja than pemba which I think is not fair for...
Ndio ni kweli seif sharif hamad alimchoma jumbe kwa nyerere ,na lengo lake ni kwamba alitegemea kwamba atapewa urais wa zanzibar lakini hakupewa .cha ajabu ni kwamba sasa hivi seif anapiga kelele za kuvunja muungano .but why he didn't support jumbe at that time?well the answer is the guy is a...
nyerere alikuwa na agenda yake ndio mana hakutaka serikali 3 ,the main reason is to wipe out zanzibar out of the world .alitaka zenj iwe kama mkoa .tatizo la tanzania bara nyerere alionekana kama mungu mtu hakuna aliempinga mawazo yake.si jambo baya hata kidogo kuwa na serikali 3 kwasababu hii...
katika watu hao mia 300 waliokwenda kwenye mkutano wa maalim seif wapo ambao wanajidai kwamba ni asylum seeker kutoka burundi,somali,uganda. .wamedanganya uk immigration officers kwamba wanatoka nchi hizo .cha kushangaza then unakwenda kwenye mkutano wa kizanzibari how stupid is that?
solution...
haruna malima inaonekana umelewa na mwenge wa uhuru ulianzishwa na nyerere ,wewe ni mmoja kati ya watu wanaofikiri nyerere bado anaongoza nchi uko wapi wewe sumbawanga ,hebu toa tongo wewe .najua nyerere kakupa kasumba kwamba upepari ni mbaya .lakini kwa taarifa yako hakuna kitu kizuri kama...
NYERERE
nyerere alikuwa dictator mkubwa katika awamu yake hakuruhusu freedom of speech kama ukitoa maoni kuhusu serikali basi wewe unaonekana ni mhaini ,wananchi walikuwa masikini kupita kiasi kutokana na siasa yake ya ujamaa .nguo za watu zilijaa viraka ,kila kitu madukani ilikuwa kwa foleni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.