Mkuu, mi nakuunga mkono. Japo ya kale yamepita, ila huko nyuma kuna mtoto wako. Kwa mtu yeyote mwelewa, atakusamehe tu. Kwanza, kama jamaa anasali, uende kwa Mchungaji wake ukapate ushauri, usiende mahakamani maana hapo kesi yenu itakuzwa na magazeti ya udaku. Nenda kapate ushauri kwa mchangaji...
Tunahitaji kumuajiri housemaid nyumbani kwetu ambako mimi na mke wangu tunao watoto wawili tu, na msichana wa kazi mmoja.
Lengo kuu la professional housemaid ni kuongea na kuwafundisha watoto lugha ya kiingereza pindi watokapo nursery school. Housemaid atasaidia kazi nyingine za kulea watoto...
Iwapo wewe ni Mwandishi wa Habari mwenye uzoefu wa Miaka 2 au 3, kuna kozi fupi hapa ambayo utasoma bure!
Kozi hii itakupa uwezo mkubwa jinsi ya kuandika masuala ya urahisi wa kufanya biashara. Kozi hii inaendeshwa na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Mwanza na kufadhiliwa na BEST-AC na...
Du! Wiyelele hiyo kali sana. Umenikumbusha jamaa moja tulikuwa tunakula na alipoanza kuongea tu, mate yake yakajaa kwenye sahani zetu. Huyo jamaa mwenye harufu ya kikwapa anaweza kabisa kukimaliza maana mtalaam mmoja ametoa ushauri wa kutumia ndimu....
Nauza gari hili, bei nzuri kabisa. 5.7 mil negotiable. Lina 1490 CC, 1998, Registration ASE, Ina sports rim, mileage chini ya 125,000. Engine safi haijawahi kuguswa. Ilipigwa rangi za bamber ya mbele na nyuma tu lakini ina original colour. Ni safi ndani na ina AC kali. Linatembea.
Email me at...
"alitaka Yambesi awe Katibu mkuu kiongozi kwa sababu wanatoka wote RUKWA mzee Luhanjo akamzidi kete kwa kumpendekeza best yake mzee OMBENI"
Alas! Kumbe vyeo watu wanapeana kwa kujuana? Kwa hiyo mimi nikiacha udereva wa boda boda nampa kazi rafiki yangu bila kujali kama anajua kuendesha au la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.