Kuweni serious na masomo acheni longolongo!!!
Mwanafunzi yeyote asitegemee kufaulu bila juhudi. Mimi naamini hakuna mwalimu yeyote anayeweza kukufelisha kwa makusudi ama kukupa alama za juu kwa upendeleo. Juhudi yako ndio itakayokutoa tu!!!!!
Acha Longolongo na stori za kuharibu sifa ya vyuo...
Nafurahi kuwa mwanajamii forum na ninaamini ni mahali sahihi pa kujifunza mambo mengi ya kijamii na kutoa mchango wa mawazo, maoni na kuelimishana katika nyanja mbalimbali za maisha ya kila siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.