Search results

  1. S

    Mtuhumiwa Kushika Bendera taifa ya Mahakamani si Kinyume na Sheria?

    Naomba nieleweshe vizuri kwanini yule mtuhumiwa alishika jana bendera ya taifa pale mahakamani Mwanza hakuweza kupigwa wala kufunguliwa mashtaka? Naomba msaada kIdogo kwa hilo
  2. S

    Hatimaye mkuu mpya wa chuo cha SAUT aanza kazi rasmi

    hatimaye mkuu mpya wa chuo cha saut mwanza aanza kazi baada ya fr. mgeni kujiuzulu,hyu nae ni fr. ametokea Jordan university ambayo ni branch ya saut,fr. kitima kaiacha pabaya sana saut mpka leo kuna wafanyakazi wenzetu hawajalipwa mishahara ya miezi mitatu,kitima ni fisadi sana
  3. S

    Tume ya Ajira kwa watu wa Kilimo na Mifugo

    Wasailiwa waliofanya usaili kuanzia tarehe 4 hadi 15 Machi, 2014 kwa kada za Kilimo, Mifugo na Uvuvi wametakiwa kuangalia majina yao katika Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa watakaokuwa wamefaulu usaili huo kuanzia tarehe 28 Aprili, 2014. Naibu Katibu wa Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya...
  4. S

    Mkuu wa chuo cha SAUT Mwanza ajiuzulu

    katika hali ya kushangaza mkuu wa chuo cha saut mwanza ameachia cheo hicho baada ya kuona wanafunzi nane wamefukuzwa chuo bila utaratibu wowote,sababu nyingine ni kuwatoza wanafunzi penalty ya laki moja wachelewapo kulipa ada ameuliza hyo penalty inaenda wap na kwanini wanafunzi wapigwe...
  5. S

    waliosoma bomani sec miaka ya 1999 mpaka 2003

    tukumbushane vituko vya pale nakukumbuka sana mwl kisinza(rip) na mwl kitindi na masunga endelea kutililika jamani bila kumsahau chisumo maarufu km assume
  6. S

    Prof.Mchome tafadhali iangalie ofisi ya ukaguzi wa shule kanda ya ziwa

    Hii ofisi imekua kero sana kwa sisi wateja,kwanza ukifika hapo secretary hata hakujali,hawana lugha nzuri kabisa kwa wateja wao,wanafanya kazi kwa mazoea,leo nimeenda pale nimekaa nje toka asubuhi mpaka saa tisa yaani muda wa kutoka ofisi bdae mtu wananiambia nirudi jumatatu,nimeuzika sana...
  7. S

    msaada :kutoka tgts b mpaka tgts e

    mimi nimwajiriwa kwenye wizara ya nishati na madini km assistant computer operator(kwa maana niliajiriwa kwa cheti ) wakati huo huo nilikua na degree ya IT pamoja na postgraduate ya IT,toka nimeajiriwa mwaka 2012 nov mpka leo sijabadilishiwa mshahara wangu pamoja na kupeleka vyeti vyangu vyote...
  8. S

    Nafasi za Kazi Bugando Medical Center

    Nunua daily news ya jana kazi kibao ========= KAZI HIZI HAPA =================== Jobs at BUGANDO MEDICAL CENTRE: Bugando medical centre is therefore inviting suitably qualified Tanzanians to fill the following Vacancies;- - Senior Medical Doctor, - Medical Consultant, - Computer Operator...
Back
Top Bottom