Kweli Watanzania itatuchukua muda kupiga hatua ya maendeleo. Tumekuwa wanafiki lakini mioyoni ndani tunaongea kitu kingine. issue ya udini na ukabila vinatumaliza. tutaendelea kukosa watu wazuri wa kutuongoza kwa sababu zisizo na misingi.
Poleni wadau.....cjui mipaka yetu wananchi..lakini naamini mpaka fununu za hivyo kutokea kuna kitu kinaweza kuwa c sawa. Time will tell. Tuendelee kuombea nchi yetu wakati huu wa uchaguzi. Wote waliopewa majukumu ya kusimamia uchaguzi wawe na hofu ya Mungu...maana kuna maisha baada ya...
Poleni wafiwa wote...tunaweza kusema mengi ila yote anajua Mungu. Najua tuna tofauti ya itikadi za vyama lkn vitabu vitakatifu vinatuonya kuhusu ndimi zetu. Naamini wapo wengi wanaitakia Tanzania mema tuendelee kumuomba Mungu, tutimize haki yetu kikatiba ck ya tarehe 25. Lakini cha muhimu...
Wewe mtu unayejiita Ndyali una roho mbaya na sijui sura yako inafananaje? Huoni hata aibu?? Nahisi wewe ni muuaji. Mungu akurehemu maana biblia inasema lieni na wanaolia kwa hiyo umefurahi kwa Mgimwa kufa??? tembea nchi za watu uone hata ukinunua pipi lazima upewe receipt. Wewe ni mjinga...
Asante kwa somo , ila sijui sijakuelewa vizuri, ina maana 2,3 na L zote zinafanya kazi moja? najua mojawapo ni kama unapita sehemu ambayo kuna utelezi, nyingine kwenye mteremko n.k naomba ufafanuzi tafadhali
Una uhakika alikuwa ni mke wa mtu, biblia inasema usihukumu usije ukahukumiwa. Ulikuwepo huko mwanza?? Acha unafiki wewe, hope ya kwako yamekushinda if you don't have a true source of information it is better to keep quite
mnahangaika kweli watanzania, jakaya alipendwa kwelikweli sasa hatujui kama hawas mnaowapendekezsa watakuwa wazuri. ila mungu ndiye ajuaye, ombeni mtapewas msibaki kuongea tu. good luck 2015
Jamani msipende sana kusema mambo ya watu, hapo ulipo wewe una uzuri gani?? what is chadema by the way?? mmewapa madaraka mkaona kuwa wanafaa?? watanzania acheni hila. Hila ndio zitatufanya tuwe maskini na wapumbavu milele. period
Ni kweli kuwa mishahara ya wafanyakazi walio wengi ni midogo sana kumudu mahitaji muhimu ya binadamu. Lakini tuangalie chanzo ni nini? how can we move forward? je kulalamika kwenye mitandao is a solution? kwa nini tusiombe jukwaa tukayazungumza wakiwepo watendaji wakuu wa serikali? tujaribu...
Kila mtu ana uhuru wa kuongea. Tundu lissu kuwataja anaweza kuwa na udhibitisho au la. Lakini uzuri wa Tundu Lissu ni kwamba amesema yeyote anayesingiziwa akanushe. Hivyo kama kuna mtu mwingine ana udhibitisho anaweza kuita press conference pia. Kuna ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma lakini...
This is blog and is used by all people civilized and non civilized people like u, how comes u call wagogo wapumbavu?? i think everybody has the right to vote so u " be careful don't use abusive language"
hakuna kazi ya mwanamke wala mwanaume. biblia ilisema adamu atakula kwa jasho kuna wanawake wangapi leo ni bread winners? na wewe unayepika wakati wageni hawapo unaficha nini? ushamba tu na kutoendelea
ni hatua nzuri kwa kuwa tanzania tuko nyuma sana wenzetu wako mbali maana infrastructure nyingi ni private owned na hii itasaidia kuondoa monopoly wa taanesco. good progress lakini nina wasiwasi na hiyo exemption????
na hao wanaume wanasubiri wake zao wawanyoe hawana akili kabisa ungesubiri utawazwe pia. wanawake wana vitu vingapi vya kufanya? akipata nafasi its okay lakini sio kila kitu umwachie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.