Jamani wadau nataka kufahamu hivi ni kweli dogo diamond anashuka umaarufu na kimziki i heard some people say so na wamenikera coz namkubali sna dgo na namuombea sana asonge mbele.ila hawa wadau wananikwaza je ni kweli dgo ana drop?
Jamani wana JF naomba mnisaidie hivi kweli hawa wenzetu huko bungeni wako serious na kupata katiba mpya kwani mpaka sasa ni mabishano tu utadhani kuna wahuni kumbe ni watu wazima wenye busara but I HATE WHAT THEY ARE DOING kwani hela za walipa kodi zinateketea wao warumbana<mnalionaje hili...
Jameni waungwana nimekua nashindwa kutengenanisha hasa juu ya mapenzi ya sasa i would like suggestion.JE MAPENZI YA SASA HUA YANAANZA MAPENZI NDIO PESA IFUATE AU INAANZA PESA NDIO MAPENZI YAFUATE? I am confused
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.