Search results

  1. Shagihilu

    Natafuta facebook page yenye watu 20000+ kwa ajil ya kuendeshea blog

    Okey. Kwa kulipia ama? Then facebook page ya mambo gani unaitaka?. Za kidini au za kawaida? Kuna ya kidini nayoifahamu ina likes 20,000+
  2. Shagihilu

    Natafuta facebook page yenye watu 20000+ kwa ajil ya kuendeshea blog

    Ndiyo. Unaposema yenye like 20,0000+ uendeshee blog unataka kusemaje hapo?
  3. Shagihilu

    Dar kama Sodoma na Gomora

    Peter Jaluo, Mungu atusaidie. Ila huwa natafakari Sodoma na Gomora huwa naona hatujafikia kiwango hicho. Jamani Sodoma na Gomora ilikuwa stage nyingine.. Angalia kipande hiki cha kisa cha Sodoma na Gomora: "Hata kabla hawajalala, watu wa mji, wenyeji wa Sodoma, wakaizunguka nyumba, vijana kwa...
  4. Shagihilu

    Chagulani kugombea uenyekiti wa CHADEMA - Mbowe jipange!

    Njano5, Inanisikitisha sana muda mnaoutumia kushabikia migogoro ndani ya chama. Muda huo mngeutumia kujenga ingekua ni faida zaidi kuliko mnavyoboa kama sasa. Mambo yanayotutenganisha si ya msingi na ni machache kuliko yanayotuunganisha.
  5. Shagihilu

    Majambazi Yakamatwa Zanzibar!!

    Zanzibar kuna aina fulani ya umoja ktk kushughulikia mambo ya kijamii. Ndo maana hata imekuwa rahisi kuwakamata watuhumiwa wengine ktk sakata hili. Watanganyika nasi inabidi tujifunze kwa wenzetu. Ukiacha hayo, mifumo yetu ya ulinzi na usalama kwa namna fulani inanuka uvundo ktk nyakati hizi...
  6. Shagihilu

    Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!

    Pasco Chadema hakuna mgogoro. Kama mtu kishavuliwa uanachama mgogoro unatoka wapi? Umeisahau mkuu post yako:? https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/581011-kutokana-na-maelezo-ya-lissu-zitto-zuberi-kabwe-ameishavuliwa-rasmi-uanachama-chadema.html
  7. Shagihilu

    Habari gani uliiona kubwa kwa mwaka 2013? (Kimataifa)

    Haipingiki Habari ya 4. "Kifo cha aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini hayati Nelson Mandela" ndo habari kubwa kuliko zote kwa mwaka 2013. - Historia yake ilifanya kila mwanadamu hata wasiopenda siasa kukaa chini kufuatilia simulizi zake wakati wa maombolezo hadi maziko yake. Mtoto kwa Mkubwa!
  8. Shagihilu

    Yericko Nyerere: Nimetishiwa maisha, nimefungua kesi polisi

    Kama tumefikia huko mbona hatari!!!!
  9. Shagihilu

    CRDB Sim Banking haipo salama

    Mbona hii ni hatari sana! Kama umewapa taarifa ni jambo jema. Nadhani watakulipa maana umewasaidia kuboresha mfumo wao!
  10. Shagihilu

    Watuhumiwa wa Ugaidi wa CHADEMA watoka wasimulia walivyolazimishwa kusema

    Kwanza poleni sana makamanda. Inasikitisha sana. Mungu mwaminifu. Ifike sasa mwisho polisi watambue wajibu wao. Wafike mahali waseme wametumika vya kutosha. Muda mzuri sasa polisi kuwatumia watanzania wanyonge na si kuwanyonga watanzania. Na polisi msipofanya hivyo maisha yenu yataendelea kuwa...
  11. Shagihilu

    Tahadhari: Kwa anayemjua Tapeli huyu

    Tehe tehe, Wahuni tu hao wasikupotezee muda hata kidogo. "hello i like us to communicate as you reply to my mail,(anna_sky40@yahoo.com),hope to hear from you soon i will reply with more about me.with love Anna" " Hi I saw your profile i pick interest on it and if you don't mind i will like...
  12. Shagihilu

    Mbowe na Lema Kwisha habari

    Chagonja MNYIKA HAELEZA SABABU ZA NASSARI KUAMISHWA NA KUWATAJA WANAUSALAMA WALIO KUWA WANATISHIA MAISHA YAKE - YouTube!
  13. Shagihilu

    Nape: Mlipuko wa bomu la Arusha yawezekana ulipangwa na CHADEMA wenyewe

    Nape kuna laana inakusumbua hakika
  14. Shagihilu

    Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!

    Tunapaswa tuombee amani ya nchi yetu. Muendelezo wa mauaji na uonevu wa raia unaotokea Arusha pasipo kujali chama kwa kweli haikubaliki. Mungu tuepushe na huu udhalimu. Mungu walaze mahala pema wote walofariki.
  15. Shagihilu

    Kongamano la Uzinduzi wa Kanda ya Dar es Salaam: Live Updates

    Kanda ya kati ikijumuisha mikoa ya Morogoro, Singida na Dodoma
  16. Shagihilu

    Sensa 2012: Unajua mkoa au wilaya yako ina wakazi wangapi?

    Ofisi ya Taifa ya Takwimu imezindua matokeo ya Sensa ya Idadi ya Watu kwa Ngazi za Utawala (Population Distribution by Administrative Units) ambayo yamezinduliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda katika Hoteli ya Kilimanjaro. Matokeo hayo yanaonyesha kuwa Mkoa...
Back
Top Bottom