kibamba umemuona kikwete yuleeeee! hivi huyo kibamba alimuulza kikwete kuwa alikuwa anamaanisha nini? wengi mbona wanatoa kauli za namna hyo au znazoendana na hyo. vp wanaosema hapatakalika .......
Mleta maada hivi unajua sheria na katiba ya chama cha mapinduzi(CCM)? kwa sababu hujui ndo maana umeandika hayo unayowaza, unajua nn maana ya chama cha siasa? nadhani umesahau kuwa kila chama kna mwenendo wake na lengo kuu la kila chama ni kushika dola na si kila lengo la mwanachama ni kushika...
hvyo vitu vnaenda pamoja. din na elimu vyote ni vya muhimu, kama kweli tume hyo aliyoisema huyo bwana ina watu hao tisa kat ya kum. Huo sio uwiano mzuri, lakn nna wasiwasi na uongoz wa chuo hcho, ikiwa n pamoja na ule wa juu, kuwa hauna maamuzi pambanuzi. Ikumaukwe kuwa siasa safi na ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.