NA KWELI KABISA HATA MM HUWA NAMCHUKULIA BORA YA MTOTO KULIKO MAULID MANAKE HT UKIINGIA KWENYE FACEBOOK AKILI ZAKE ZA KITOTO TUPU KAZI KUJISIFIA MAMBO YA KIJINGA DUH, BASI SASA ASIPIGE PICHA NA KIONGOZI YEYETO au MTOTO WA KIONGOZI NI BALAA ATAMWELEZEA ILE MBAYA UKIJA KWENYE FAMILIA UTASIKIA MARA...
Hakuna shida kama serikali inapenda kusaidiwa mpk makalio Marekani fanyeni mambo.Kila kitu si tanzania inataka mteremko??? Wamarekani ni macreative na macritical thinker ndiyo maana sasa kama serikali ya kibongo ya kugushi vyeti acha itafuniwe Bwana. Hahahahahahahahahaha!
Hey! habari zenu wapenzi wa Jf? nashukuru sana kwa aliyetujulisha kuwa tunaweza kutumia Itv online tuliyopo nje ya nchi, asanteni sn maana mm binafsi sikujua. Sasa ninaomba msaada kidogo mbona nimefuata process zote na kweli nilifanikiwa kuangalia siku 1 tu.sasa hivi nikifungua inataka password...
Lakini pia hata hivyo km wewe na mkeo ni mwili mmoja wasiwasi wa nn?basi km hutaki mawasiliano ukiwa home usingenunua mobile tumia ya kazini kwako maana unakuwa huru zaidi ukiwa nje ya nyumba yako zaidi ya ukiwa kwako.Huo sio uungwana inaonyesha hujiamini ktk mambo yako
Napenda kuwashukuruni sn JF the home great thinker, my Husband,Sketchers company,my beloved family in Tz,all friends from facebook and all my friends wherever you are in and outside the country kwa salamu nyingi na nzuri za my Birthday.Salamu zangu za pekee ziwafikie marafiki zangu wa karibu...
Hawajui ndiyo!!!!!!! wewe unayejiita mama mia unayajua mapenzi? wewe mwenyewe uajionyesha ni jinsi gan hujui sasa unatafuta msaada kistaili kwanza huna jipya kl siku hoja zako zina utata.we lea wanao home waachie wenye fani zao wapete mzee
Yaani jamani nyie hii picha mnakiuka kbs sheria kuitundika hapa hivi hamjisikii vibaya hata kuimulika du hatari tupu.ilijichotea mibilions kula ovyo mwili umepanuka kila mahali mpaka PUA kubwa mfereji una afadhali.unapata uongozi kujitengenezea mipresha ya nini?yaani hawa mungu atawabariki
Na ss wenyewe tujitahidi kuomba ili apate ule mwamko wa yeye au msukumo wa maombi.Maana bila hivyo ni bure maana nafikiri watakuwa wanafuata ya shehe Yahya kwamba mtu asimpinge kikwete km yy ndo mungu.hewa tu hiyo kikwete aongee na mungu wake yahya ndo nn hiyo?
omega pamoja na yote uliyotaja ni sawa yanachangia ila mwenzangu na jinsi mtoto anavyojituma.wengine wanajifanya wapo updated akifika shule km ni hostel anajifanya hajui kilichompeleke matokeo yake anatuletea yai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.