Search results

  1. J

    Nipeni mwanga jamani

    ilitoka ikiwa na miez mingapi?kama walimsafisha vizur hakuna shida anshika nyingine kama kawaida acha wacwac suns we komaa na lishe bora zen apate muda mwingi wa kupumzika usimfanyishe kaz kam kufua,kudek na nyinginezo mana pia zinapelekea kuchoropoa mimba cunajua anwake wa cku hz,we mpe mahitaj...
  2. J

    Msaada wakuu

    pole mwaya my dada nimeamin mimba haina uzoefu,kwa uelewa wangu mm naona ni kawaida coz mtoto ndo anajianda au ameshaelekea getin kwa maandaliz ya kuja dunian bt wot i can advice you ni kwenda kwa matabib kwaajil ya kuona maendeleo ya mtoto bt mazoez usisahau japo kwa uchache ktk kila cku
  3. J

    Msaada jamani,naumia

    Nashkur wandugu kwa ushaur wenu mola awabariki nimeenda hospital tumechek tayar dogo ameelekea getini,wametushaur kufanya mazoez na kuzingatia mambo ya misos,xnx a lot
  4. J

    Jamani nisaidieni hili

    Wan wik kwa ukanda wa barid kias na wk 2 kwa ukanda wenye joto kama hana tatizo lolote kidondan mkuu
  5. J

    Msaada jamani,naumia

    asante kwa ushaur kaka ngoja nende apo ddh nione response knwza i wl giv yuu fidbak mkuu
  6. J

    Msaada jamani,naumia

    ana kilo 50 uref cjajua ila niwakawaida ci mfup yupo katk kund la waref wa wastan,soda anakunywa kwa nadra sana
  7. J

    Msaada jamani,naumia

    so ulivyokwenda hosp hukupewa huduma yyte zaid ya huo ushur?ngoja leo niempeleke nitawapa fid bak wapendwa
  8. J

    Msaada jamani,naumia

    kaka huku niliko ni ful majanga nipo mara serenget yan hospital yenye atrasaund ni moja tu na hao maspecialist ni sawa na hakuna adi nachoka kila tukienda wanasema hakuna tatizo et ni kawaida ata celew katoto kenyewe ndo kakwanza
  9. J

    Msaada jamani,naumia

    Jamani msaada kwa wajuao kama kuna dawa mrs ana uja uzito wa miezi saba na nusu anapata maumivu makali kuanzia kiunon hadi karibu na mbavu upande wa kushoto tuu maumivu ambayo yanapelekea maumivu ya tumbo,wakati mwingne hawezi kulala wala kuka nata hamu ya kula,sambamba na hlo anatapika na pindi...
  10. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jaman naomba msaada kwa yeyote anaetaka kuja wilaya ya serengeti,serenget sec.niende moro mjin au mvomero plz ukilipztz tzngzo hili mjulishe na mwenzako 0713434286
  11. J

    Majina ajira za Ualimu 2014 haya hapa

    Jaman ajira mpya na za zaman kama kuna mtu unamjua aje wilaya ya serenget,shule ya sec serenget niende moro taun au mvomero 0713434286
  12. J

    MUM idahili toka tcu.

    Mum ni tofaut na vyuo vingne tanzania,inajenga watu katika nyanja zote za maisha ww unaesema wanaubaguz uliwah kuomba ukasome pale ukanyimwa nafac?acha utaratib wao uwe ivoivo hatakaopelekwa mum bila ridhaa yao i believ watarud ndan ya mwez mmoja tu mum hawaangalii sura ukichemka ni kwenu hakuna...
  13. J

    Nini madhara ya kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume?

    Kwan hayo magol yanatakiwa kua mangap mana naona na ngono nayo imekua panado 2x3 kw cku unawezaje kushindana na sehem uliotokea kuen makin vijana kumbuken kupata ukimwa ni kaz. Ni mtazamo tu
  14. J

    Matumizi ya hemovit kwa mjamzito

    Ni vizur mama mja mzito kuchukua tahadhar kwa kutumia vitu mbalmbal vya asili vinavyoongeza damu kama vile zambarau,zabibu,matembele,mchuz wa maharage,mchicha,rozela na vngnevyo ili kua ktk safe side during delivery,inashauriwa mama mjamzito had kujifungua iwe 14-16, so yte haya yakishindikana...
  15. J

    Kuna anayewafahamu vizuri ForePlan Clinic ya Dr. Mwaka?

    Kwa ushaur wangu rud haraka hospital ukawaeleze mambo yalivyo,inawezekana ukipata hedh tu mambo yakawa safiiiiii,ucjal na usichoke ni mitihan tu kua na uvumiliv my dada
  16. J

    Kuna anayewafahamu vizuri ForePlan Clinic ya Dr. Mwaka?

    Kizaz kinaweza kua na shida mbalmbal ebu tumshaur mwenzetu aende kuonana na madaktar,unaweza kunywa midawa kumbe ndo unapotea uwezo wa kuzaa,nenda kwa madktar uone tatizo ni nn,huko utafaham kizaz kina shida gan hata hao wa miti shamba watajua specif dawa kulingana na tatizo lilopo mkuu
  17. J

    Kuna anayewafahamu vizuri ForePlan Clinic ya Dr. Mwaka?

    Kwa gharama kweli anagharama kubwa san cunajua mtu aliehasle sana akipata upenyo harembi,hospital wamekwambiaje cunajua miti shamba ni hatua za mwsho?
  18. J

    Kuna anayewafahamu vizuri ForePlan Clinic ya Dr. Mwaka?

    Dr mwaka anatibu kwa miti shamba bt suala la kutopata mtoto ni mipango ya mola,umeenda kwa dr kufanyiwa uchunguz?mana kuna uwanja mpana juu ya masuala ya uzaz
Back
Top Bottom