NINACHOKIJUA MIMI TOKA NDANI KABISA YA HUU UGOMVI ni kwamba super feo ana time table ya saa 6:00am na 6:10am kutoka songea na gari zake zote za dsm zipo ndani ya muda huo wakati huo huo mbeya na iringa na dom ana gari za saa 6:00am na 6:20am katika hali hii super feo inabidi atoke saa kwanza...
nashukuru mdau najitahidi kumjibu kila mtu sababu ni sehemu ya jukumu langu as pr zen matangazo yaliyopo hapa ofcn songea tumeweka ili kuondoa usumbufu asubuhi kwakua huu ni msimu wa mavuno na tumekuwa idadi kubwa ya mizigo inayokuja asbh wakat gari zinakua zmeshajaa na matokeo yake utaambiwa...
walinzi tunao mkuu baada ya hili kutokea tulitaka kuweka ulinzi zaidi kwa kuweka uzio kwenye eneo letu tukapewa barua kuwa mwezi wa nane tunatakiwa kuhama kwenda msamala tunashukuru kwa maoni yako mkuu tunafanyia kazi ili hili lisijitokeze tena.
jaribu kutembelea stend ya mabasi songea pindi basi za dsm zinapoingia ucku utajua jinsi hali ya ulinzi inavyokua ngumu kutona na mazingira ya stendi yenyewe yalivyo.
ndugu cjajua unazungumzia gari zp znapoingia za mby na iringa au dsm ila kama ni za dsm huwa hatutoi mzigo ucku na kuna tangazo la kuonesha muda wa mwisho kuchukua mzigo ktk ofic zetu na gari za dsm zinapoingia usitegemee kondakta atakupa mzigo hata kama upo hii inatokana na taratibu zetu mpaka...
anae toa majibu ya kejel haucki na kampuni ya super feo yeye ni mdau wetu tu kama una kero au maoni juu ya kampuni yetu tafadhari piga cmu hizi
0754 651960,0658 228384,0784 350523 na 0755 198935.
tshirt hazikupotezwa ziliibwa baada ya kutokea ugomvi baina ya abiria wetu wakat wa kushusha mizigo wakat kondakta amepeleka mawazo yake kwenye ugonvi alikua kashafungua buti vibaka wakaiba box lilikua na tsht na kondakta aliwajibishwa kwa uzembe na akalipa tsht kwa tarehe iliyopangwa jaman cc...
kiongozi huyu anaetukana ni mdau tu wa super feo na sisi binafsi hatuelew kwann anatumia lugha kali kiasi hicho cc binafsi hatuwez kufanya haya tumsamehe yy c sehemu ya super feo asichukuliwe kama ni sehemu ya majibu ya jampuni ya super feo
wadau maoni yenu tumeyapokea ila tumesikitishwa na lugha zinazotumika na wadau wetu tumewahi kupokea malalamiko ya mizigo kwakua super feo ni kampuni kubwa lazima vitu kama hivi vitokee mara moja moja eiza kwa uzembe au bahati mbaya but kwa kesi nyingi huwa zinakua solved ila kuna nyingne huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.