Wana Jamiiforums je unamkumbuka nani katika maisha yako ya shule iwe ni primary, O- level, A- level au chuo ambaye ungependa uonane naye, lakini hujui yuko wapi?
Binafsi namkumbuka...
Hi wote!
Jamani nisaidieni mwenzenu kwa anayejua jinsi ya ku delete contact kwenye WhatsApp
mimi ninachojua ni kuweza ku delete kwenye conversation tu,lakini huku kwenye Contacts nashindwa
na nina watu ambao sometimes sitamani hata kufungua kwenye WhatsApp contact kwa sababu ya kutopenda...
Habari zenu wapendwa!!!
Kwa muda mrefu natafuta namna ya kutuma pm but nashindwa niingie wapi.
Najua almost woote humu ndani ya nyumba mnajua, naomba nami mnisaidie nijue tafadhali.
Thanks in advance.
Hi!
Jamani naomba kwa wale wote waliosoma Ifakara sekondari
(machipi) naomba tujikumbushe baadhi mambo ya shule yetu,
1. Mihogo ya ambanjaula
2 nesi wetu wa shule mdundiko na mwingine nesi msukosuko
3 kwenda kuiba. Ndizi na mihogo kwenye mashamba ya shule na kwenda kufichama mto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.