Mzee: "Unajua...ngoja nikuambie kitu kijana wangu, kwenye huu ulimwengu ukitambua wenye manufaa maishani mwako usiwape umuhimu, hawatakuumiza*. Wenye umuhimu maishani mwako usiwafanye wenye manufaa, Utaumia"
Inakupasa uombe msamaha kabisa kwa Mungu wako ,wacheki wale vilema wakuzaliwa wanavyokomaa kwenye jua na kuomba lakini hawajakata tamaa, sembuse wewe una viungo vyote.Maisha ni kupambana vyeti ni makaratasi tu yale,bora urudi kijijni ukaanze upya lazima utapata kitu kwa elimu yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.