Unaogopa kashakuandalia lako au? Hiyo ni kazi wee kama unaona haifai muache na kazi take ila ukifa atatoa mchango wa jeneza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahari nanitolewe yote kama iilivyo sharia. (Muhubiri….sikumbuki sura)
Unajua mwanaume ukilipa mahari inaraha fulan na heshima ukweni kwaninwazee umewapa kifuta jasho chao nao wamekunjuka mioyo na kukubariki.
Mwanamke ukilipiwa mahari ni rahaa kwa7bu unaishi na MTU kihalali bila wasiwasi wa...
Kweli aisee... Mwalimu aliyenifundisha sekondar nimekutana naye... Mie ndio naonekana mzee. Sijui wao ni zile kupata stress remover ktk mambo waandikayo wanafunzi ktk majibu ya mitihani nk!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.