MAJIBU:JK ataendelea kuongoza -ATAONGOZA MPAKA 2015 ni sahihi.
pamoja na mapungufu makubwa katika uongozi wake-kama yepi?
-huoni barabara,vyuo,shule,mahospitali,zahanati,kilimo??/amka usi crame.
Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?-Edward Ngoyai Lowassa.
Heshima mbele wana JF:
Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:
CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:
Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:
1.Amani na Utulivu nchini:Bila CCM na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.