CCM Chama Pekee Cha Siasa Chenye Dira na Mwelekeo

Visible

Senior Member
Dec 8, 2009
139
1
Heshima mbele wana JF:

Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:

CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:

Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:

1.Amani na Utulivu nchini:Bila CCM na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi hii isingefika hapa.

-Tanzania ni taifa lenye amani duniani:
-Naisifu CCM kwa hili; ukiangalia mataifa mbali mbali duniani vita na majanga mbali mabali unaweza gundua kuwa kweli Tanzania pamoja na umaskini wetu bado AMANI ni kitu muhimu sana na ni FAHARI YETU.
-HONGERA CCM na tunashukuru kwa hili.

2.Kukua kwa maendeleo:hapa tunazungumzia Elimu,Mawasiliano,Kilimo etc
-Elimu hakuna ubishi toka kuwa na Chuo kikuu kimoja hadi sasa tunashukuru CCM na serikali yake bila wao nadhani tungechechemea kwa hili.
-Mawasiliano:barabara na telecom kwa hili serikali imejitahidi sana na bado inaendelea kutengeneza barbara safi na za kisasa.
-Kilimo kimeboreshwa na serikali bado inazidi kuhimiza kilimo kama njia ya kujikwamua kiuchumi.

3.Kukua Kwa SIASA na democracy:CCM ingekuwa si chama kizuri nadhani sasa hivi TZ ingekuwa kama kwa kina castro Fidel CUBA:Yani kusingekkuwa na vyama vingi na tena vinajiexpress kama wapendavyo bial tabuu yoyote.
-Katiba na utawala wa sheria pia ni kitu cha kujivunia.

Kwa mlinganisho:Bado WAPINZANI hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:

sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.

KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.

HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO:
 
Heshima mbele wana JF:

Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:

CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:

Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:

1.Amani na Utulivu nchini:Bila CCM na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi hii isingefika hapa.

-Tanzania ni taifa lenye amani duniani:
-Naisifu CCM kwa hili; ukiangalia mataifa mbali mbali duniani vita na majanga mbali mabali unaweza gundua kuwa kweli Tanzania pamoja na umaskini wetu bado AMANI ni kitu muhimu sana na ni FAHARI YETU.
-HONGERA CCM na tunashukuru kwa hili.

2.Kukua kwa maendeleo:hapa tunazungumzia Elimu,Mawasiliano,Kilimo etc
-Elimu hakuna ubishi toka kuwa na Chuo kikuu kimoja hadi sasa tunashukuru CCM na serikali yake bila wao nadhani tungechechemea kwa hili.
-Mawasiliano:barabara na telecom kwa hili serikali imejitahidi sana na bado inaendelea kutengeneza barbara safi na za kisasa.
-Kilimo kimeboreshwa na serikali bado inazidi kuhimiza kilimo kama njia ya kujikwamua kiuchumi.

3.Kukua Kwa SIASA na democracy:CCM ingekuwa si chama kizuri nadhani sasa hivi TZ ingekuwa kama kwa kina castro Fidel CUBA:Yani kusingekkuwa na vyama vingi na tena vinajiexpress kama wapendavyo bial tabuu yoyote.
-Katiba na utawala wa sheria pia ni kitu cha kujivunia.

Kwa mlinganisho:Bado WAPINZANI hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:

sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.

KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.

HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO:


You need to be ingored big time hakika Wadau huyu katumwa baada ya kumaliza kupima upepo kwa JK kuwa LIVE sasa wanakuja njia mpya . Hatuwezi kurudia kuridia mijadala okoa muda wetu wa kujadili mambo mengine bwana
 
You need to be ingored big time hakika Wadau huyu katumwa baada ya kumaliza kupima upepo kwa JK kuwa LIVE sasa wanakuja njia mpya . Hatuwezi kurudia kuridia mijadala okoa muda wetu wa kujadili mambo mengine bwana

Mkuu,wewe nio watakiwa uwe ignored hapa...Huu ni mtizamo wake(where we dare to talk openly).Cha msingi ni kumjibu kwa hoja(kwa nini hukubaliani na mtizamo wake) badala ya kuanza kumtuhumu kwamba KATUMWA na nani sijui...Wakati mwingine ni vizuri watu tukatofautiana kimtizamo aisee...Hoja hujibiwa kwa hoja na si blah blah kama hizo zako hapo juu...Pamo jah!!
 
You need to be ingored big time hakika Wadau huyu katumwa baada ya kumaliza kupima upepo kwa JK kuwa LIVE sasa wanakuja njia mpya . Hatuwezi kurudia kuridia mijadala okoa muda wetu wa kujadili mambo mengine bwana

Haya kweli sio matatizo ya wapinzani??

-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka


Unataka vithibitisho?
 
HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO:

Hongera kwa lipi mkuu?

dira ya CCM unayoisema ni ipi hiyo?

Una hakika Tanzania kuna Amani?? hali ya mahospitalini, vibaka, kukosa ajira, elimu, umaskini , hivi navyo ni amani? au kwako definition ya amani ni nini?

Huoni unaonekana mbinafsi sana kwa sababu unabonyabonya kwenye keyboard ya kwenye hiyo PC ya serikali basi haujui kuna watu wanalala na njaa nchi hii?
 
Mkuu,wewe nio watakiwa uwe ignored hapa...Huu ni mtizamo wake(where we dare to talk openly).Cha msingi ni kumjibu kwa hoja(kwa nini hukubaliani na mtizamo wake) badala ya kuanza kumtuhumu kwamba KATUMWA na nani sijui...Wakati mwingine ni vizuri watu tukatofautiana kimtizamo aisee...Hoja hujibiwa kwa hoja na si blah blah kama hizo zako hapo juu...Pamo jah!!

mkuu nimekugongea senksi hapo.
 
FIKRA MGANDO!!!!!
We unajua kabisa unaongea pumba ndio maana umetahadharisha kuwa inawezekanna ukawakera wengi na ndivyo ilivyo.....
Amani haiwezi kuletwa na ccm hata siku moja.......
watz sio ccm........ndio maana kutokana na mfumo mbivu asilimia 90 hawapigi kura kwani hawaoni umuhimu kwa chama cha mafisadi.

mbona US kila muhula kuna mabadiliko ya chama na kuna amani?
mbona uingereza kuna mabadiliko ya vyama lakini kuna amanni
hali kadhalika ujerumani na mataifa mengine
Wanachojali wao ni sera.....
watz tutakapogeuka na kuwa binadamu wa ukweli tutafaidi sana matunda ya nchi ...lakini tukiwa bei chee kiasi hiki kama akina zitto kununulika kwa bei ndogo kiasi hiki kamwe hatutafiak................
 
FIKRA MGANDO!!!!!
We unajua kabisa unaongea pumba ndio maana umetahadharisha kuwa inawezekanna ukawakera wengi na ndivyo ilivyo.....
Amani haiwezi kuletwa na ccm hata siku moja.......
watz sio ccm........ndio maana kutokana na mfumo mbivu asilimia 90 hawapigi kura kwani hawaoni umuhimu kwa chama cha mafisadi.

mbona US kila muhula kuna mabadiliko ya chama na kuna amani?
mbona uingereza kuna mabadiliko ya vyama lakini kuna amanni
hali kadhalika ujerumani na mataifa mengine
Wanachojali wao ni sera.....
watz tutakapogeuka na kuwa binadamu wa ukweli tutafaidi sana matunda ya nchi ...lakini tukiwa bei chee kiasi hiki kama akina zitto kununulika kwa bei ndogo kiasi hiki kamwe hatutafiak................


unauhakika ka nunuliwa?na nani?

jenga hoja:

na kama kanunuliwa utakubaliana nami kuwa ni udahifu wa upinzani au?
 
Are u sure kweli Tanzania kuna Amani?? Hivi wale watu wanaokufa kwa sababu ya kukosa hela ya matibabu (hata hela ya kununua panadol ya kutuliza maumivu hana, utasema wana amani, Je yule ambaye hata mlo mmoja kwa siku unamshinda utasema ana amani? Je na yule anayeshindwa kumpeleka mtoto wake shule kwa sababu hana hata hela ya kunua kiatu cha shule, uniform, au hata kalamu utasema ana amani? Au utasema hakuna watu wenye maisha duni kama hayo?????? Hiyo amani unayoiimba wewe naomba baada ya miaka 10 kama mtindo wa maisha utakuwa bado upo hivi wa viongozi kujilimbikizia mapesa na tabaka la wenye nacho na wasionacho kuongezeka njoo uniambie kama amani hiyo itakuwepo.
 
Heshima mbele wana JF:

Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:

CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:

Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:

1.Amani na Utulivu nchini:Bila CCM na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi hii isingefika hapa.

-Tanzania ni taifa lenye amani duniani:
-Naisifu CCM kwa hili; ukiangalia mataifa mbali mbali duniani vita na majanga mbali mabali unaweza gundua kuwa kweli Tanzania pamoja na umaskini wetu bado AMANI ni kitu muhimu sana na ni FAHARI YETU.
-HONGERA CCM na tunashukuru kwa hili.

2.Kukua kwa maendeleo:hapa tunazungumzia Elimu,Mawasiliano,Kilimo etc
-Elimu hakuna ubishi toka kuwa na Chuo kikuu kimoja hadi sasa tunashukuru CCM na serikali yake bila wao nadhani tungechechemea kwa hili.
-Mawasiliano:barabara na telecom kwa hili serikali imejitahidi sana na bado inaendelea kutengeneza barbara safi na za kisasa.
-Kilimo kimeboreshwa na serikali bado inazidi kuhimiza kilimo kama njia ya kujikwamua kiuchumi.

3.Kukua Kwa SIASA na democracy:CCM ingekuwa si chama kizuri nadhani sasa hivi TZ ingekuwa kama kwa kina castro Fidel CUBA:Yani kusingekkuwa na vyama vingi na tena vinajiexpress kama wapendavyo bial tabuu yoyote.
-Katiba na utawala wa sheria pia ni kitu cha kujivunia.

Kwa mlinganisho:Bado WAPINZANI hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:

sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.

KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.

HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO:

Duh mzee hongera sana, manake kukifagilia chama kama hiki lazima uwe na roho ngumu zaidi ya ile ya kumchinja mwanao wa pekee kwa nia ya kumtoa kafara.
 
Nina hakika hujatumwa,ila sina uhakika na uwezo wako wa kuchanaganua mambo..
yooote uliyoyaorodhesha hayana point wala hayahitaji mtu mwenye busara zake ku-fall into dialogue na wewe.ila lazima nikubaliane na wewe jambo moja ''hakuna kiongozi ndani ya upinzani anayefaa kuongoza nchi'' kwani wengi wamezidiwa na ubinafsi,ukabila,uroho na ushirikina.
Ila hilo halihalalishi uwepo w ccm madarakani.

''kutojitambua kumetufanya tushindwe kutambua mapungufu katika utambuzi wetu''
 
Kuna methali moja ya kabila fulani inasema hivi. "Mtoto asiyetembea kwa majirani siku zote atamsifia mama yake kwamba ni mpishi mzuri". Nadhani hilo ndilo tatizo la mtoa hoja.

Unaposema CCM wamefanya mazuri kulinganisha na nani? Na majirani? Mimi nadhani tunapaswa kujilinganisha na nchi ambazo zina amani kama Tanzania kuliko kujilinganisha na nchi ambazo muda mrefu zimekumbwa na ghasia. Ebu tujilinganishe na Zambia, Botswana, Malawi, na hata jirani yetu Kenya (hadi 2007). Ni dhahiri kwamba nchi hizi karibu zote zinatuzidi katika nyanza zote alizozitaja. Tanzania katika hali ya amani aliyoitaja mtoa hoja ingepaswa kuwa mbali zaidi kwa vile ni nchi tajiri sana kuliko nchi hizi nilizozitaja ambazo ni land locked! Utaniambia nini wakati hata bandari tuliyopewa na muumba wetu tumeshindwa kuitumia vizuri kulinganisha na Kenya! Alafu watu wanasema CCM imefanya vizuri?

Ndio CCM imefanya vizuri ukilinganisha wa vyama vingine vilivyofanya vibaya sana katika nchi zao. Ni sawa na kusema mtoto wangu amekuwa wa kwanza katika kundi la wanafunzi walio feli mtihani! What a shame.
 
Wewe Visible,
Yule demu wako asharejea au ndio ametokomea kimoja na huyo jamaa mwenye Landcruiser?

Kwa njia hii unafanya vyema kujipunguzia stress. Unajua tena maisha ya kuachwa!
 
Tatizo la chama tawala ni utekelezaji wa kile viongozi wake wanachohubiri kila uchao. Itatuchukua zaidi ya nusu karne kutoka hapa tulipo kwa mwendo huu.
 
Wewe Visible,
Yule demu wako asharejea au ndio ametokomea kimoja na huyo jamaa mwenye Landcruiser?

Kwa njia hii unafanya vyema kujipunguzia stress. Unajua tena maisha ya kuachwa!
POINTLESS hivi umejiunga lini hapa JF?
 
Mi napinga kwenye point ya Kwanza, kusema kuna AMANI.. Amani si kutokuwepo na vita.. Huwezi ukasema kuna amani wakati watu wanalala njaa...

There is NO peace in Tanzania... Kuna utulivu tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom