Visible
Senior Member
- Dec 8, 2009
- 139
- 1
Heshima mbele wana JF:
Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:
CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:
Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:
1.Amani na Utulivu nchini:Bila CCM na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi hii isingefika hapa.
-Tanzania ni taifa lenye amani duniani:
-Naisifu CCM kwa hili; ukiangalia mataifa mbali mbali duniani vita na majanga mbali mabali unaweza gundua kuwa kweli Tanzania pamoja na umaskini wetu bado AMANI ni kitu muhimu sana na ni FAHARI YETU.
-HONGERA CCM na tunashukuru kwa hili.
2.Kukua kwa maendeleo:hapa tunazungumzia Elimu,Mawasiliano,Kilimo etc
-Elimu hakuna ubishi toka kuwa na Chuo kikuu kimoja hadi sasa tunashukuru CCM na serikali yake bila wao nadhani tungechechemea kwa hili.
-Mawasiliano:barabara na telecom kwa hili serikali imejitahidi sana na bado inaendelea kutengeneza barbara safi na za kisasa.
-Kilimo kimeboreshwa na serikali bado inazidi kuhimiza kilimo kama njia ya kujikwamua kiuchumi.
3.Kukua Kwa SIASA na democracy:CCM ingekuwa si chama kizuri nadhani sasa hivi TZ ingekuwa kama kwa kina castro Fidel CUBA:Yani kusingekkuwa na vyama vingi na tena vinajiexpress kama wapendavyo bial tabuu yoyote.
-Katiba na utawala wa sheria pia ni kitu cha kujivunia.
Kwa mlinganisho:Bado WAPINZANI hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:
sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.
KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.
HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO:
Kama kawaida najua wengi mtalipinga hili:
CCM ni chama cha siasa ambacho kik madarakani tangu uhuru:
Tulipotoka ni mbali na hadi tulipo lazima tukishukuru chama hiki kwa mambo yafuatayo:
1.Amani na Utulivu nchini:Bila CCM na viongozi wake bora nadhani amani ya nchi hii isingefika hapa.
-Tanzania ni taifa lenye amani duniani:
-Naisifu CCM kwa hili; ukiangalia mataifa mbali mbali duniani vita na majanga mbali mabali unaweza gundua kuwa kweli Tanzania pamoja na umaskini wetu bado AMANI ni kitu muhimu sana na ni FAHARI YETU.
-HONGERA CCM na tunashukuru kwa hili.
2.Kukua kwa maendeleo:hapa tunazungumzia Elimu,Mawasiliano,Kilimo etc
-Elimu hakuna ubishi toka kuwa na Chuo kikuu kimoja hadi sasa tunashukuru CCM na serikali yake bila wao nadhani tungechechemea kwa hili.
-Mawasiliano:barabara na telecom kwa hili serikali imejitahidi sana na bado inaendelea kutengeneza barbara safi na za kisasa.
-Kilimo kimeboreshwa na serikali bado inazidi kuhimiza kilimo kama njia ya kujikwamua kiuchumi.
3.Kukua Kwa SIASA na democracy:CCM ingekuwa si chama kizuri nadhani sasa hivi TZ ingekuwa kama kwa kina castro Fidel CUBA:Yani kusingekkuwa na vyama vingi na tena vinajiexpress kama wapendavyo bial tabuu yoyote.
-Katiba na utawala wa sheria pia ni kitu cha kujivunia.
Kwa mlinganisho:Bado WAPINZANI hawawezi kuongoza nchii hii labda baada ya miaka mia hivi kwa wastani:
sababu kubwa ikiwa ni :uchanga wa vyama na utitiri wake.
-kukosekana kwa viongozi imara wenye msimamo na maamuzi mazito:
-ulafi wa madaraka
-wabunge waliochaguliwa kushindwa kabisa kusaidia wananchi ktk maendeleo na kuwakumbuka pindi za chaguzi.
KWA MACHACHE HAYO NAOMBA MUONGEZE MENGINE MAZURI NA PIA MABAYA KAMA YAPO.
HONGERA RAIS WETU HONGERA CCM:JK TUNAKUITAJI TENA MIAKA MITANO IJAYO: