VIONGOZI wa umma wametakiwa kujiuzulu nyadhifa zao wanaposhindwa kutekeleza wajibu wao, ili kupisha wenye uwezo kuchukua nafasi hizo na kuliwezesha taifa kufanikisha malengo yake ya kuleta maendeleo katika jamii.
Hayo yalisemwa juzi na Makamu wa Rais, Dk Ali Mohamed Shein, alipokuwa...
Kutimuana kwa CCM haina maana kwamba ndio Upinzani utaimarika kwa hao waliotimuliwa kujiunga na Upinzani, kwani kama Kigezo cha kutimuliwa ni Ubadhirifu na utovu wa Nidhamu, sidhani kuwa watakua waadilifu wakiingia upinzani, bado wanadamu ya KiCCM hayo watakuja kutuvuruga tu hao, hawafai.
Hongera sana Mzee Mwanakijiji kwa Hoja yako, nakuunga mkono mia kwa mia, ni kweli kuna haja ya CCM kubadili huo utaratibu wao wa Kiimla na kuwatumia wasomi wengi tu wa nchi hii ambao si lazima kuwepo ndani ya CCM ndio wawaone ni wenzao.
Maendeleo ya nchi hii ambayo ni yetu sote yanahitaji sana...
Nalazimika kuungana na jamaa mmoja anayeitwa Miontini ambaye aliandika makala kwenye jaida la Rai yenye kichwa cha habari "Wanaiangalia Tanzania yetu kwa jicho la Husda"
Ni ukweli usiopingika kwa sasa watanzania hatujajiandaa kwa namna yeyote ile kufaidika na jumuiya hii, na vilevile ni...
Mpaka sasa sijaona hoja ya msingi ambayo wenzangu wana JFtumeshindwa kuelewana, mimi kama mpinzani bado sioni kosa kwa kuhojiwa Mheshimiwa Mbowe, tatizo liko wapi?
Nafikiri tuache malumbano tuwapishe wenye kuweza kujibu maswali watusaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.