Inategemea unaongelea levo gani brother kilemi. researcher ndiye nadhani anatakiwa ajitafutie mwenyewe vitu gani asome na kwa staili ipi. Kwa mwanafunzi (pupil au student) hata awe wa PhD anatakiwa apate mwongozo na msaada wa mwalimu wake (tuisheni)
maswali kumi kivipi, sijakuelewa point yako...
mama joe,
sina details za ndani kuhusu hii programu lakini sioni ubaya wake ikiwa nia ni kuwasaidia watoto wa kike wapate fursa sawa na wenzao wa kiume. Ni jambo la kitambo maana nililisikia miaka 2 au zaidi iliopita. labda walionufaika na hii programu watafutwe watupe feedback maana si jambo...
wangefanya vyema kutuletea mchanganuo wa hizi simu kwenye maendeleo yetu ya kiuchumi kama taifa..je kuna kitu tumefaidika kama watumiaji? je watoa huduma wanalipa kodi ipasavyo n.k.
mama joe, hili la coet si hivyo kama unavyolielezea.
Program (sio twisheni) inayoendeshwa coet kwa taarifa nilizonazo imelenga kuwasaidia watoto wa kike, kuwaandaa kwa ajili ya masomo yanayotarajiwa kuanza. Nia ni kuhakikisha wanamudu masomo yao na kuwahamasisha kuchukua masomo ya sayansi...
ndugu yangu kumbuka elimu sio vita. na unapoitafuta elimu lazima uzingatie kuokoa muda na nishati. kwanini mwanafunzi ahangaike kusoma vitabu kama UP 10 wakati anaweza kupata summary ya topics za fiziks kwa Mkandawile zinazoeleweka vizuri na kuwekwa pamoja? Kumbuka hao watoa twisheni wametutoa...
sawa kaka. nimekuelewa. mimi ni mgeni hapa Jf baada ya kuwa msomaji kwa wiki mbili tatu nikaamua si vibaya kujiunga nanyi. matumaini yangu jf ni mahali pa kujenga fikra endelevu kwa faida ya wote(wenye kuhitaji). wenye nia mbaya nitawaepuka.
asante sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.