Kwa mujibu wa jinsi kesi ilivyokwenda jana na maelezo ya Wakili Mabere Marando mimi ninasema Babu Seya na wanae wataachiwa kwani kulikuwa na ukiukaji mkubwa wa kanuni za uendeshaji mashtaka. Na kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa Upande wa Mashtaka haukuthibitisha hatia ya washtakiwa bila ya...
Jamaa huyu wa Falme za Kiarabu ameigeuza Loliondo kuwa sehemu ya nchi yake. Naamini kuwa hii ni kukiuka Ibara ya 28 ya Katiba ya nchi yetu kuhusu ukamilifu na umiliki wa nchi yetu. Je si kosa la uhaini kuitoa nchi yetu kwa watu wengine?
TCRA kumbana mwekezaji Loliondo
Imeandikwa na...
Napenda kuwasalimu na kushirikiana nanyi katika mtungo huu hongera sana kwa makala nzuri. Ila huwa sipendi watu wanaopenda kuchanganya mambo mazito ya majaliwa na nchi yetu na chuki au hisia za kidini au ukabila.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.