Nachowaza huko sauzi Korea asije akaiba demu wa jumong, maana huyu dogo mjinga saana kwakweli halafu aje atusimulie alivyompatapata haka katoto kashenzi sana
Tatua tatizo lawama acheni ngozi nyeusi sisi buana:Mleta maada nimemuelewa kama MTU anayetaka ushirikiano jinsi na namna ya kumshinda MTU mwenye akili kupita sisi,anazungukwa na matajili na wenye akili wenzake anatokea katika taifa pendwa na pendelewa tunakosadiki ndiyo wenye biblia na akina...
Mlitaka mapapa aache vipapa ss tena mnataka nini? Kuthubutu in hatua tosha saana kwa jamii yetu hii yenye woga na hofu kuu,japokua hisia zangu asije akawa anatengeneza mazingira ya monopoly kwenye hii biashara
Nilikua nashangaa kwann hamkusema neno juu ya movie yake the rum diary [emoji2] jamaa walikua wanaweka pombe mochoni halafu wanaangalia TV kwa jirani hahahaaa pumbafu saana Johnny Depp, hata kwenye the tourist kafanya tofauti saana
Haka kanchi kanakomedi chifu, hivi vidole vitauma kubishia mijitu ambayo hayajasoma makala hata moja, au wamesoma moja nyingine hawajasoma ngulumbili achana nao mzee, we leta tuu vitu vizuuri wakusoma tusome wakusema vwatasoma baadae ili wabishe waendelee. Ila weka vitu mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.