Iam sad to say kwamba ur the dumbest,stupid and currupted minded person ever.yaani umefikia kutukana utanzania wetu kwamba ni ujinga,upumbavu na unyani?unatukuza uzungu?unatukana kwenu?
modern day slave huh? pity
Isae!
Una uhakika kwamba unakatwa elfu tatu kila mwezi?
mimi pia ni mteja mwenye akaunti yangu na ya mtoto,nijuavyo mimi benki ilitukata elfu 3,000 mwezi wa nane kama malipo ya card ya visa!
sidhani kama wateja wote wa CRDB nchi nzima wangekaa kimya kwa kukatwa elfu tatu kila mwezi!kuwa mkweli...
hapa hakuna fact yoyote zaidi ya speculations,huwezi kusema kwamba a leading bank in the country itaanguka na kufa just bcoz DANIDA wanauza shares zao!Kwani shares zikiwa owned na locals huo sio mtaji?when will we wake UP from this Neo-colonialist syndrome?mbona wengine wanaweza?
Au mwekezaji...
jamani last week nili attend concert ya Yossour N`Dour na Angelique Kidjo hapa dar.Nadhani wasanii wetu wanahitaji kujifunza sana kutoka kwa hawa legends
Inasikitisha kwamba forum hii ya great thinkers tunazungumzia jambo la uzushi kwa benki ambayo ndio imebeba uchumi wa Tanzania.
Je tunayo elimu ya kutosha kuhusu masoko ya hisa na utendaji wake au tunakurupuka tu? Kwa nini tusiombe wataalamu wakatusaidia?
Hii ni forum nzuri ya kuzungumzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.