hope this is not an excuse ya wewe kufeli..............i am the CPA(T) na nimefanya sana hizo pepa za NBAA,cha maana na kumshukuru mungu pepa haikuhairishwa.....fyn wamekosea wewe dili na pepa kwa sasa hayo mambo ya kuwajibishana watawajibishana wenyewe wanaohusika.unapokaa kulalamika baba muda...
watu wa humu wanauzi yaan wanajibu sijui utafikiri ni nini..............hongera my dear i love that business too,ukiweza uwe unapack kabisa unakuwa na ofisi zako maalumu unachukua oda asbh kwa simu then saa saba mchana unawapelekea.....kupakua barabarani ishu watu wengine wavivu kutoka ofisini...
Wanahitajika waliomaliza au ambao wako mwaka wa mwishao kwenye fani zifuatazo
accounting
actuarial science
auditing
banking
business management
computer science/it
economics
engineering
finance
hr
industrial psychology
investment
law
marketing and communication
mathematics
risk management...
50 COMMON INTERVIEW QUESTIONS AND ANSWERS[Don't forget to have a look at free bonus at the end of this document.]Review these typical interview questions and think about how you would answer them. Readthe questions listed; you will also find some strategy suggestions with it.1. Tell me about...
Ambao wapo interested waende kama hutaki acha kejeli currently they are recruiting pipo na sio ya kutembeza bidhaa nendeni pale supermarket then mtaona namaanisha nini kuna a lot of opportunities.......pple u have to change sio kila siku ni mzaha tu.kuna watu thy are seriousll looking for job...
wanahitajika,graduate wa form 4 waende na docs zako manyanya 1st flo jengo lenye nbc kinondoni ofc za career development kuna kazi katk supermarket mpya ya uchumi ipo pugu road.
me naona kumuhudumia mtu kabla hajakuoa au kuolewa ni mtu tu mwenyewe haina maadili wala nini?many things vinamfanya mtu avutiwe na wewe....n mostly ukishavifanya ndo atacomfirm/kuvutiwa na wewe y shuld i marry a guy then nianze kujilaumu kuwa anakidole cha mwisho?or y shuld u get married and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.