Nimependa sana kuona UZI wa KUBOTA aliouandaa kwa muda mrefu kidogo ukitendewa haki kwa vitendo, kwakweli MUNGU AMBARIKI aendelee na moyo wa kutusaidia vijana.
Upo kijiji gani? Ndoa ina miaka 10, mtoto atakuwa na miaka 11... Je, ni wa kusindikizwa na dada kweli? Ila nadhani unahitaji ushauri kutoka kanda ya ziwa, hasa hasa MARA.
Mmh! Yani unahitaji kuonyeshwa pa kuyapeleka hayo maziwa! Yani mfano akwambie "peleka makanisani, misikitini, kituo cha polisi, jeshini, hospitalini n.k?" Nina wasiwasi bado utamuhoji eti UKIFIKA UWAAMBIAJE.
Yaonekana wewe ni KILAZA! Au huna mamlaka hapo kwako? ETI SIJUI UFANYAJE! Ok, it's simple. Nawe nenda likizo kwa kaka wako, ukakae kwa heshima na taadhima ukirudi jibu utaliona na wala si kuambiwa! UBONGO MZITO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.