Wataalam nisaidieni kuna mitambo ya kusafisha majitaka hapa kiwanda cha bia cha serengeti iliyofungwa na kampuni ya Waterleau ya Belgium na katika Recirculation ya maji kusafishwa, kuna mabomba yameelekezwa ndani ya visima vya maji taka ambapo hufyonza gas iliyomo mule ndani ya matenki...
natafuta kazi ya operational
kitengo na uzoefu wangu miaka{ 3} in waste water treatment plant
mahali: niko mwanza
mode of operational: auto and manual in all sphere na master kila kitu.
mahali popote penye hiyo kazi naenda kufanya ila pawe na uhakika
kuwa chance ipo.
pawe ni...
Samahani Wakuu!
Mwenye taarifa yoyote juu ya kuanza mradi wa Kibaha anijulishe.....Nimeleta hapa Jukwaa la siasa, sababu naelewa wengine humu waweza kuwa wahusika au wanasubiria kama mimi!
Hii Ajira Nimeisubiri sana,hadi nimekata tamaa na kujiunga na buku saba project hapa Lumumba!
Please...
Jamani wakubwa nimeshuhudia mambo haya yakifanyika
jana usiku wa tarehe 14-08-214 saa 2.00 baba mmoja tena mtumishi wa umma ambaye ni dereva wa gari la SU mali ya wizara ya kilimo na mifugo hapa jijini mwanza anayeishi nyakato eneo la Mahango karibu na (fance ya gachuma)
Baada ya kurudi kutoka...
wakubwa nisaidieni maaana nchi yetu ndo ilivyo maisha magumu sisi watoto wa maskini mdogowangu kapiga mwaka wa kwanza kakwama na mimi ndo nimeishiwa wapi anaweza pata taasisi au kampuni au shirika la kujibanza kwanza lili akatafutekaro najua ndoto yake ilikuwa ni kupiga hadi masters degree...
Wanajamvi naomba ushauri wenu mimi sijaoa umri wangu ni miaka 27, tatizo langu ni uume wangu kulingana kama wa mtoto mdogo ila nikija kugegeda ndo unatoka na kuwa wa mtu mzima kitu kinacho nipelekea kuogopa kuutoa mbele ya wanaume wenzangu.
Sina tatizo lolote la kiafya mi nikofiti je ni nini?
Wanandugu tujuzane mwenye ufahamu wa( takehome) ya askari wa magereza ambaye hana taaluma. Maana mimi ni miongoni mwa anaye elekea huko sababu viwango vya utumishi vya TGS take home yake huwa inapungua naombeni msaada.
Wanandugu tujuzane mwenye ufahamu wa( takehome) ya askari wa magereza maaana mimi ni miongoni mwa anaye elekea huko sababu viwangovya utumishi vya TGS takehome yake huwa inapungua naombeni saada.
Habari za mcha huu wakuu naomba msaada wenu juu ja hili nina ndugu yangu anatafuta nafasi ya udereva na ana madaraja yafuatayo; A, E, C na nimzoefu na amewahi kufanya makampuni yafuatayo SBC Mwanza branch ,coca cola miaka ya 2000, na makampuni mengi ya kitalii na analeseni mpya kuanzia...
Mimi ninadogolangu (form four leaver 2012) anapoints 29 namtafutia chuo chochote lakini kiwe nicha serikali kwa mwaka wa masomo 2014/2015 wadau nisaidie ninashida ya huyu dogo.Ahsanteni no 0765469266.
Mimi nina mdogo wangu amesomea kozi ya drivings and mechanics engeering kutoka chuo cha Arusha Tech. Naomba mwenye kujua nafasi yoyote kwenye makampuni au taasisi, mashirika ninaomba anisaidie. Kwasasa yuko kitaa zaidi, chochote anaanzia.
Habakui kazi no.0765469266.
Nitashukuru wadau...
MImi ni muhitimu wa (EastAfrica Utalii College) nina Diploma in Hotel management na mzoefu katika kazi hii kupitia sehemu mbalimbali na makampuni mbalimbali ya kitalii hapa nchini kwa sasa nipo mwanza. natafuta sehemu ya hotel yoyote yakufanya kazi.
Mimi nina certificateya(Environmental Conservation and Afforestation) ninaomba mashirika makampuni au taasisi mbalimbali na Offices zinazohusiana na mazingira kwa anayejua ziripo anijuze mi niko fiti na mtaalamu wa compyuta, hata laki I mi nachukua niko kitaa sina kazi nitashukuru mkinisaidia..
Ni muda sasa kila nikiposti jina la jukwaa la habari la mf basi kinatokea ---------. Sasa nimeamua ku snip sijui nahili litashindikana.
Mods punguzeni roho ya kwanini, nyote mnajenga nyumba moja ya nini kugombania fito.
Whatever the case badilikeni.
Mimi ninatafuta nafasi yakazi ya kuendesha mitambo ya kisasa ya utibuni maji mi ni mtaala na mzoefu baadhi ya mambo yafuatayo .ph do tss,sv,vfa and cod and plant operation nisaidie mi niko fiti , niko hapa mwanza.
Mimi nina certificate ya (Envirnimental conservation and Afforestation) natafuta kaziyoyote kwenye makampuni,Mashirika au taasisi yoyote inayohusiana na kozi yangu naomba mnisaidie wadau mi niko fiti hata laki 100,000/=kwa mwezi nachukua sina kazi niko hapa mwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.