KAAZ KWEL KWEL!
Unaota wewe. Ikiwa wewe siyo mfanyakazi wa TRA unayejitetea, basi wewe ni mbumbumbu maamuma!
Wafanyakazi wengi wa TRA ni mafisadi wa kutisha... wanaiba kodi zetu kujineemesha.Tuko nao na tunaona matusi wanayofanya kujilimbikizia mali.
hawa sijui wabebwe na mbeleko gani mkuu. Hata wakibebwa kukaza shingo nayo kazi. Kazi yao kulialia tu. Kwanini hawajiulizi kuwa nafasi zote kuu na nyeti katka ngazi za taifa wameshikilia wao na bado wanalia. Wamepewa chuo kikuu bureee kikapewa na jina lao.hawawezi hata kukata majani na kufagia...
hii kali aisee.Kodi zenu zinajengaje makanisa? Rudi darasani ujifunze dini ya ukristo ilikujaje, funds za ujenzi ea kanisa miaka hii zinapatikanaje nk. Fyi wakristo wenyewe hujenga kwa pesa zao wenyewe na hawategemei kodi za mtu yoyote, na ni mchango wa hiari. hiyo MOU waislam mlioishikia bango...
Umesema la msingi.
JF inatoa uhuru kwa watu kusema wanayoyaona ndani ya jamii.
Hao wanaomshambulia Boflo huenda ndio wahusika wakuu kwqenye huu mchezo mchafu hivo wameguswa pabaya.
Tunawashauri waache huo mchezo mbaya.
Watu wamechoka amani Tausi.
Wamebweteka, wamejidanganya muda mrefu kwamba Tanzania ni kisiwa cha amani.
Wanadhani tunakula amani!
Ngoja tuone kitakachotokea
A hungry man is an angry man.
Love and Peace!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.