Nadhani unaweza ku-run Virtual machine kwa ubuntu, basi download MS onto usb drive, then install as virtual machine instance to emulate x86. pia inategemea nguvu ya machine yako.
Wadau hapan sio kwa ajili ya mafuta, hapo Ubalozini hawatumii sana njia hii na pana kimlima kidogo ambacho kulingana na urefu wa gari la obama, lilisababisha hilo tuta liwe kama PIVOT na kufanya "see-saw"
Hizo ndoto tuu za Ali nacha, hii haitatokea in our generation.Pia haiwezekani sehemu iliyojistablish hivi ( kigamboni ya leo) ibadilishwe iwe kama ( hizo fotoshopu). Itaishia kwenye hiyo project ya mtu. Wakitaka kufanya hivyo waende sehemu mpya isiyokuwa na makazi
Zifuatazo ni hatua tano za kusaidia kuondoa Harufu mbaya ya mwili. 1.)Be Clean in Body and Dress
Since bacteria are mainly responsible for producing BO, cleanliness is an important part of the total solution. Bathe daily, using a mild soap (deodorant soaps are not only harsh to the skin; they...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.