Habari jaman, mi ni muhtmu wa kidato cha 6 2014, bado naendelea kutafuta ushauri wa kitu cha kusoma chuo kikuu, sasa nina koz mbili ambazo kwa upande wangu nashindwa kuzpima uzito kati ya archtecture na civil naomba msaada wenu bla kujal unasoma kozi gan il nifanye maamuz sahihi
habar zenu wadau wa elimu,mimi ni kijana niliyemalza form 6 mwaka huu,toka zaman nilkuwa nataman nisome UDSM lakn klchokuwa kinaniumiza kichwa ni kwamba kozi nnayoitaka(archtecture)haikuwepo na ilkuwa ARU lakn kwa bahat koz hyo imeanzishwa UDSM mwaka huu,tatzo linakuja naambiwa kwa sabab ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.