Search results

  1. K

    Degree tupa kule, nimeanza kazi ya kuendesha watalii

    Niambieni wadau. Nasubiri mnipe comment; niko sahihi au?
  2. K

    Nimependa mfumo wa ufungaji ndoa wa Waislamu ulivyo simple

    umekosa hoja wew mbona ata wakristo unafumania MTU kapandwa halaf unakomaa eti kisa nipingu ya maisha.hayo sii maumbile mung alotuwekea njoo uislamu uone utam
  3. K

    Natafuta kazi ya kufundisha Chemistry, Physics na Mathematics

    naomba uje survey brajeck and grill park tuzungumze nione tunafanyaje am the director at st Jude school
  4. K

    Mnaoshauri mtu anaetafuta kazi aanzishe biashara bila kujua mazingira yake mnakera

    haka kathread kama kaaa kiukweli ukweli sana tena mpumbav mwingine anakuuliza mpk Leo hujapata kaz??kisa yy kabaaatisha umarketing kananjaaa BT kana pretend the kanakwambia Fanya tu mpango bro uanze biashara asee wanakera kiukweli
  5. K

    Alichonifanyia mke wangu kinazidi kuniadhiri kila uchao..

    kwanza amekupiga kitu kinaitwa tilawa hiyo nidawa yakukuzidi kauli na ndo mana mkizinguana we ndo wakwanza kuomba msamaha jombaaa ukiendelea nahuyo kimeo siku ukipata kamali kidogo atakulaza kitandandan .pia jiangalie namna unavompenda,sim yake akikupigia unajiskiaje unamuogopa au??dogo hayo...
  6. K

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    wadau naombeni mwenye uelewa wa taratibu zakufata ili nifanye new registration ya kampuni .asanteni
  7. K

    Ushauri Kwa Watafuta Ajira.

    hoja zakike kabisa yaan we unatutisha tusifuge ndevu unaakili wewe.nisawa nakuzuia bleeed ya mwanamke acha upumbavu wewe.akifuga profesa yupo bze tukifuga sisi niuchaf.shame upon you girl
  8. K

    Tume ya Mufti kuhakikisha mali za Waislamu zinarejeshwa yakabidhi ripoti kwa Waziri Lukuvi

    unaonekana ukiliona neno Islam roho inakuuma sana.yote hayo yanin sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Ya RITA na uhakiki wa vyeti

    OK nitajaribu kuwarushia e mail km walivodai apo juu wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Ya RITA na uhakiki wa vyeti

    Jamani ndugu, Nimeenda kuhakiki cheti cha kuzaliwa jijini Arusha nikakutana na mtumishi alioachiwa maagizo na mkuu kwamba baadhi ya vyeti ambavyo namba zake zimetumwa Dar es Salaaam hawawezi kuvihakiki hivo nilazima tupande magari kuelekea Dar kwa ajili ya uhakiki japo cheti nilichukulia...
  11. K

    Watu walio na midomo iliyo babuka

    mi nnamdomo mzuri haujababuka njoo unipe Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    AJira 10,000 za Kairuki zimetolea wapi??

    Wiki kadhaa nyuma waziri wanchi ofisi ya rais utumishi Angela Kairuki alitangaza kuwepo kwa upungufu wa rasilimali watu katika taasisi mbalimbali za serikali hivi wadau nyie mnaupdate yoyote kuhusu hizo ajira? maana naona kimyaaaaaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    Maandalizi ya usaili TRA.

    mmh kwamtindo wadesa kubwa hivo ata semester 6 haliishi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    Ushauri kwa ewe Kijana unayesaka Ajira.

    true fact haiwezekan update 5 halaf nadongo uwatupie utumish kwan we nan mpk wakufanyie ivo?? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. K

    Zitambue sababu za Kwanini usome UDOM?

    not us ni ud.no professors ni professors sorry Sent using Jamii Forums mobile app
  16. K

    Zitambue sababu za Kwanini usome UDOM?

    usikariri kitabu ata TCU wameonesha hayo ss unataka ulazmishe udom na us view suti dogo hiyo haiwezekan.ndoana rank ya afrika ud na udom vinafanana??wew na hao wanaorank nan eanatumia vigezo zaid??au kwakua ukiangalia majengo yanarang murua unahis ndo pako juu.hamna graduate utakaemlazimisha...
  17. K

    Zitambue sababu za Kwanini usome UDOM?

    kwanin kispokeee maombi meng wakat ndo chuo chuo hakina competition ma cutoff points ya 4.0 utashindwa??wakat ud cutoff minimum ni 5 Sent using Jamii Forums mobile app
  18. K

    Zitambue sababu za Kwanini usome UDOM?

    maneno kuntu haya[emoji36] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom