Ndugu zangu suala la ndoa ni jambo kubwa sana tafauti na tunavolifkiria, kwa iyo tunapotaka kulingia lazima tuwe sirius, huwezi kuwa wewe una mila zako, ukataka kumuowa ambae mila zako kwake ni matusi, kwa mfano utamkuta mchaga anataka akamuowe au aolewa na mpemba, sote tunajua kama mila za...
ASSALAMU ALAYQUM, YAAMANITTABAAL-ULLAA,
Kwa yeyote mwenye suwali kuhusu kisiwa chenye marash ya karafuu (PEMBA) na wapemba, naomba aniuleze, nitamjibu kadri ya uwezo wangu.
Najua kuna mengi yanasemwa kuhusu Wapemb na kisiwa chao ki2kufu mengine ni mazuri mengine mabaya kwa uhakika naombeni...
ALHAMDULILAH RABIL-ALAMIN. Mwenyez Mungu kaniruzuk mtoto wa kiume mchana huu MASHAALLAH, mtoto yupo na afya njema na mama yake. Kwa kweli nina furaha isiyokua na mfano mchana huu AMA CNA CHA KUMPA ALLA ISPOKUA NI KUMSHUKURU JAPO KWA UCHACHE WA SHUQRAN kwa kusema ALHAMDULILAH ALA QULLI HALI.
Juzi
moja tulikwaruzana kidogo na my waif wangu sasa mi nipo seblen nachek
mdahalo wa akina warioba yeye waif akaingia chumban akashika madonge eti
anataka kuyameza huku ni mjamzito duh, kidume nikaingia chumban kujitayarisha ili
nikaswali magharib ndo nakumban na hiyo hali nikaenda...
Ebu
jaman tuweke ushabiki pemben, 2jadili hili "KUTOKANA NA HALI YA KISIASA
ILIVO NCHINI IVI SASA, JE KUNA UMUHIMU WOWOTE ULE WA RAIS KWENDA NJE YA
NCHI KUFANYA SHUHULI ZAKE NYENGINE, BILA YA KUJUA HALI IMEFIKA PAHALI
PAZURI?"
Ikumbukwe kwamb yeye ndie chanzo cha yote yanayoendelea...
Ili
pimbi kutoka zanzibar linalojiita Omar Zubeir linajua lakini
kinachojadiwa kwenye uu mdahalo au linajitia vidole likijinuka tu. Na uyu wasira ananitishia mwanangu.
Nina ndugu yangu ameniomba nimtafutie wateja wanaotaka Spea za gari USED kutoka Japan kupitia Dubai, duka lake lipo Ilala lindi na shauri moyo
limeandikwa LUSAKA USED SPEA PARTS 0657617671 au 0773617671 anaitwa BADI duka lake lipo mlango watatu upande wa kulia wa gaeti la shule ya
Alharamain...
Kuna mfanyakazi mwenzangu amenitaka nimsaidie tatizo lake lakini nimeshindwa, nikaona bora nije hapa jamvini nikiamini nitapata chochote cha kumsaidia.
Anapofanya tendo la ndoa huwa anapiga bao moja tu lakini hawezi kupitisha hata siku mbili tu bila ya kufanya tendo la ndoa yaani anakuwa na...
Dada yangu ni mjamzito wa miez8 tatizo kaambiwa fuko la uzaz limeshuka sana, halaf kama wiki hivi anahisi maumivu ya kiuno kama ametunza taka (majipu) na chini ya kitov na K vinauma sana, je ni kawaida ya ujauzito au ni tatizo ?
Ni mimba yake ya kwanza nimempeleka kwa dokta kamkanda then...
Kwa
yoyote ajuwae ile FILAM ye2 ya HOMA YA DENGUE STERING DK CHENI NA RC
imefikia wapi? Je imeshaingia sokani? Mi niliiacha pale mabasi ya
mikoani yanapuliziwa dawa, halaf kukatokea mgogoro wa siri-kali na wamilik wa mabasi, ni bonge la FILAM usikose nakala yako.
Utamskia
mtanganyika wazanzibari 2nawapa umeme wa bure hawalipii, Je ni
mzanzibari gani ambae halipi huduma ya umeme? Zny umeme umeanya kuwaka
tokea 1905 kabla ata badh ya nch za ulaya, Znz hailipii chochote
kwenye mungano, je Tanganyika inalipia bei gani kwenye mungano?
2naaminishwa...
CCM wameambiwa wabaki baada ya kikao, ndio wakambiwa kama hoja ya kuvunja SUK ipo pale pale, na wamemtaka spika wawakilishi wa CCM wasichanganyike na wa CUF kwenye baraza.
Ikumbukwe kama baada ya kuundwa SUK wawakilishi walikuwa wanachananyika na hakukuwa na kambi ya upinzani.
Amesema
Mtume (S.A.W) hatokufa mmoja wenu mpaka amiliki (apate) kile
alichoandikiwa na Allah kukipata akipate, hivo basi asifanye kharamu mmoja wenu
katika kutaka kumiliki hicho atakcho miliki. (hatuna haja ya kuiba kutowa
rushwa, kuza viungo vya albino n,k km 2meandikiwa kumiliki...
Amepiga
marufu Ulizaji wa mkataba wa Unguja na pemba kwani kihistoria unguja na
pemba ni moja, pia wazir wa nch ofs ya makamo wa pili warais Muh'd
Abudi pia ameungana na spika. WALIPOAMBIWA WAMEUFYATA DODOMA WAKAWA
WAKALI. Mbona hawakusema ki2 walipokua machinjion kwao? Pia raza alitaka...
Nawatakieni
kheri ya shughuli zenu zote za ujengaji wa taifa letu pendwa,
Pili naomba kujuzwa eti mwanamke anaweza kutolewa bikra bila ya kutoka
damu?
Lakini huwa na skia maumivu makali wakati wa tendo kwa mara ya kwanza, na kwa mwanamme husika hua anasikia maumivu
ya uume wakati...
Walemavu
wamaekaa katikati ya bara bara ya karume katikati ya njia inayoenda
buguruni,magomeni, kariakoo na tmk, magar hayendi, wanapinga kupokonywa
baskel zao pamoja na maeneo yao ya karume na manispaaa ya Ilala, wapo kwa mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya. chanzo mimi mwenye within KENGEJA YETU.
Anahojiwa
lakin kaamua awaweke hadharan ccm kila mwenye macho awaone, anatoa siri
zote walizokubaliana na serekali, lakin serekali wameshindwa
kuzitekeleza ahadi walizokubaliana, Akina mwana diwani tenda iyo njoni mupotoshe buku7 isiwapite.
Wale
ccm wanaotaka kuwafitinisha UKAWA nawaomba waelewe km hatutizami
tuendako bl tunatizama twendako, kwa hiyo habar ya ku2ambia km chadema
walisema hivi kuhusu cuf, au Lisu alisema hivi kuhusu cuf, au vaisvasa,
hayo hatuyatizami tena bali tunatizama chadema wanasemaje kuhusu cuf au...
Kwa wale wanao2danganya km mungan wa sekekali 3 unagharama naomba wanijibu ili suali.
Km leo kuna bajeti ya wizar ya sheria na katiba ambayo c ya mungano, lakin kuna wabunge wa znz na wao wameingia kujudili kwa hiyo wamechukua posho laki3 *75=?, je hizi c gharama, je km wizara hi c ya mungan ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.