Leo, jana na juzi nasikiliza habari za mkanganyiko uliotokea huko Ikulu, kuhusu magari ya kubebea wagonjwa yaliyokuwa yakabidhiwe na Raisi wetu siku ya Jumatatu 18/01/2010. Badala ya kupewa wilaya iliyokuwa inatakiwa kupewa, akaja mtu wa wilaya nyingine kupokea hilo gari.
Mimi nashindwa kuelewa...
Tarehe 25/09/2009 nilikwenda Giraffee Hotel kwenye Miss Tanzania Talent show. Kulikuwa na washiriki 8 tu wa mashindano ya talent show kati ya 29:
1- alicheza kihindi
3- wakacheza ngwasuma
2- wakaimba nyimbo za Whitney Houston na Celine Dione wakachemka sana.
1- akacheza TAARABU na siyo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.