Tarehe 25/09/2009 nilikwenda Giraffee Hotel kwenye Miss Tanzania Talent show. Kulikuwa na washiriki 8 tu wa mashindano ya talent show kati ya 29:
1- alicheza kihindi
3- wakacheza ngwasuma
2- wakaimba nyimbo za Whitney Houston na Celine Dione wakachemka sana.
1- akacheza TAARABU na siyo ya kistaarabu MATUSI MATUPU YA USWAHILINI.
1- Akafanya play - aliigiza kuwa mama wa kijijini mwenye mimba kubwaa, anakwenda shambani kulima, wkt analima uchungu ukaja akazaa akiwa shambani, jamani it was very tourching, and very sad. Yaani mimi hadi nililia, huyo dada alikuwa amejiandaa vizurii sana, alitengeneza na CD, wkt anajifunguwa tukawa tunasikia mtoto analia yaani kama kweli.
Jamani cha ajabu tarehe 02/10/2009 aliyeshinda TALENT ni mchezaa taarabu, na hiyo taarabu ilikuwa matusi matupu ya aibu sanaaaaa. Baada ya kushinda yule msichana aliyetoa message nzuri kwa jamii kashinda mkata viuno, inasikitisha sana.
Sasa hii kamati ya Miss Tanzania wana maana gani???, wanawafundisha nini watoto wetu?? ndiyo wasichana wakiingia huko inakuwa ni RUSHWA, NGONO, UFISADI ETC.
Tutajikomboaje namna hii?? Maana hata kwenye miss World pia kuna mashindano ya Talent.
Kweli mimi nimesikitishwaaa saanaaa Miss Talent kuwa mcheza taarabu. Maana hata dada hapo nyumbani kwangu nikimfunga kanga anaweza kucheza taarabu, kwa hiyo ana talent!! Siyo kwamba naichukia taarabu, hapana, ila kuicheza siyo talent.
Asanteni
1- alicheza kihindi
3- wakacheza ngwasuma
2- wakaimba nyimbo za Whitney Houston na Celine Dione wakachemka sana.
1- akacheza TAARABU na siyo ya kistaarabu MATUSI MATUPU YA USWAHILINI.
1- Akafanya play - aliigiza kuwa mama wa kijijini mwenye mimba kubwaa, anakwenda shambani kulima, wkt analima uchungu ukaja akazaa akiwa shambani, jamani it was very tourching, and very sad. Yaani mimi hadi nililia, huyo dada alikuwa amejiandaa vizurii sana, alitengeneza na CD, wkt anajifunguwa tukawa tunasikia mtoto analia yaani kama kweli.
Jamani cha ajabu tarehe 02/10/2009 aliyeshinda TALENT ni mchezaa taarabu, na hiyo taarabu ilikuwa matusi matupu ya aibu sanaaaaa. Baada ya kushinda yule msichana aliyetoa message nzuri kwa jamii kashinda mkata viuno, inasikitisha sana.
Sasa hii kamati ya Miss Tanzania wana maana gani???, wanawafundisha nini watoto wetu?? ndiyo wasichana wakiingia huko inakuwa ni RUSHWA, NGONO, UFISADI ETC.
Tutajikomboaje namna hii?? Maana hata kwenye miss World pia kuna mashindano ya Talent.
Kweli mimi nimesikitishwaaa saanaaa Miss Talent kuwa mcheza taarabu. Maana hata dada hapo nyumbani kwangu nikimfunga kanga anaweza kucheza taarabu, kwa hiyo ana talent!! Siyo kwamba naichukia taarabu, hapana, ila kuicheza siyo talent.
Asanteni