Make: Toyota Mark X 2006
Cc: 2490
Mileage:130,000
Seat: Leather seat 5, both front electronic
Airbag; 9
Sound and Radio: touch screen and subwoofer
Mirror: side mirror indicator
Key: push start
Price: 8,200,000
Location: Mbezi Beach Tanki Bovu
Tel: 0653 029400
Habarini Wakuu,
Nilikuwa na safari leo asubuh ya kutoka Dar kuelekea Mji Mkuu wa Tanzania yaani Dodoma kwa kutumia shirika la ndege la Air Tanzania. Safari ilikuwa ya kuondoka Dar JNIA saa 6:00AM sharp. Nilifika mapema na kufanikiwa kucheck in na kuingia ndani ya ndege aina ya Q400. Ndege...
No matter what, maisha lazima yasogee (Life has to go on). Iwapo umefiwa, masikini, nk Maisha lazima yaendelee.
Na katika kuendelea na maisha mimi binafsi nimepata mkopo ofisini kwangu (si thru benki) wenye riba ya 3%only. Lengo la mkopp huo ni ujenzi ujenzi ujenzi. Nilifanikiwa kupata kiwanja...
Wakuu,
Naandika hapa huku mapigo ya moyo yapo juu sana. Natokea Mwanza muda huu na flight ya saa8:25 fastjet kurudi Dar. Tumefika kwenye run-way na mbio zikaanza za kutafuta speed ya kupaa, wallahiiii ndege si wakakatiza ghafla juu na si tayari Kasuku (fastjet) yupp kibati... Aiseee zimefungwa...
Yaani sina hata hamu. Gari yangu niliyoagiza sbtjapan mwezi wa Feb mwanzoni limefika dar tangu Ijumaa tarehe 20 Machi, lakini huo ukilitimba wa Agent wa Clearing and Forwarding niliyemchagua mbona kasheshe. Yaani yupo very manually au sijui nisemeje. Hanipi update zozote wala nini, ukimpigia...
Wakuu,
Gari tajwa hapo juu inauzwa kwa Tsh 9,000,000 kila kitu inclusive. Gari inapatikana Dar- Mbezi Beach, ninayeuza ni mmiliki halali wa gari.
Picha za gari zimeambatanishwa. Napatikana 0656994450.
Ahsanteni na Karibuni.234023
Mimi nadhani kugawa magari kama zawadi kwa washindi mbalimbali wa droo mbalimbali ikiwemo Airtel, Miss Tanzania,Vodacom, Bajaji za tiGo nk hazina tija kabisa. Kwa mfano, unakuta mtu wa mjini au vijijini ambaye ana maisha magumu mnamkabidhi gari, FOR WHAT?? Kwanza magari sio source of income...
Habarini,
Ninauza gari yangu aina ya Toyota Wish ikiwa na maelezo yafuatayo;
YOM- 2003
Car: Toyota Wish
Colour- Black
CC: 1800
Gear: Auto
Fuel: Petrol
Doors: 5
Seats 7
Registration Tanzania: End of June 2013 (CLK)
Location: Dar es Salaam- Mbezi Beach
Gari ipo cutomized na Mziki mkubwa...
Habarini,
Ninauza gari yangu aina ya Toyota Wish ikiwa na maelezo yafuatayo;
YOM- 2003
Car: Toyota Wish
Colour- Black
CC: 1800
Gear: Auto
Fuel: Petrol
Doors: 5
Seats 7
Number: CLK
Location: Dar es Salaam- Mbezi Beach
Gari ipo cutomized na Mziki mkubwa (Subwoofer, Busta, Twitter, CrossOver)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.