mimi pia ni mkazi wa kinyerezi lakini pia huwa wakati mwingine tunalamba bia na mh mahanga pale rufita segerea.kujadili kafanya nn hiyo sio hoja,hoja ni je ubunge wake umetokana na wananchi au viongozi wa juu?kama kweli unaishi segerea utagundua watu wamemchoka yeye na chama chake na ndio...
kuna wakati alikuwa anapost ujinga mara sijui jana nilikuwa disco NYC,mara kesho naenda OHIO kula bata,so wat?nikamwambia aache kupost ujinga watu wanateseka huko mtera kwasababu ya ujinga wa babayake,ananiblock facebook..
we takataka mtahengerwa sijui kama umeisoma vyuo vikuu na kama ulisoma hamkuwahi kugoma,lazima mliwahi je chadema ndo waliowafanya mgome?kinachowafanya wanafunzi wagome ni kutokupata haki zao za msingi...unataka wakae kwa amani wakiwa na njaa...serikali itimize wajibu wake hutaona migomo....
lipumba kaonyesha ukomavu wa kisiasa,kwa hili lazima tukusifie ingawa najua mtatiro(katibu wake)hajapendezwa nalo,maana yeye anawaza upinzani wa cuf na chadema sio democracy....
hata wakati DR slaa anatoa list of shame ya akina ramba na mgonja watu mlisema atoe ushahidi yeye akatulia tu,sasa akina mramba wapo wapi?akitoa ushahidi mapema atavuruga mambo wakati ukifika atatoa
mbunge hana mamlaka ya kutoa kibali cha gari la maji taka limwage wape,hipo kazi ya halmashauri....NG'WENEKELE kama huna cha kuandika unaweza kusoma walichoandika wenzako itakusaidia pia..sio kuandika utumbo tu ili na wewe uonekane uwa unapost humu...kaendelee na kazi ya kuvua gamba huko
na wewe unakubaliana na CCM kwamba kweli wanajivua gamba?gamba(lowasa,rostam,chenge)ambalo miezi michache iliyopita uliwaita waadilifu na ukasema tuwachague leo hii unawaita magamba,basi inabidi JK atutake radhi sisi wananchi wa monduli,igunga na bariadi na ikiwezekana tuitishe uchaguzi wa...
sijawahi kuona article ya majid ikimpinga kikwete,sielewi kikwete hana mapungufu au?hata kama wewe ni CCM damu jaribu kusimamia ethics za uandishi wa habari...hotuba ya kihistoria???kikwete kasoma alama za nyakati tu kuwa hata afanyeje katiba mpya lazima ipatikane..hana jipya muuza sura tu yule...
hapo aliletwa na lowasa ndo swahiba wake,kazi haikutangazwa hiyo popote..nafikiri pia imemcost ile siku alipomuhoji lowasa kwa kumsafisha nakumponda pinda..lakini lowasa anaanzisha radio arusha soon abda atampa kazi huko
awamu ya nne
1.ongezeko la mafisadi
2.ongezeko la mfumuko wa bei
3.ongezeko la umaskini
4.ufnguzi wa barabara,madaraja aliyojenga mkapa
5.ongezeko la ada za shule,vyuo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.