Search results

  1. J

    Freddy Michael a.k.a Funga Funga

    Kama kuna siku nimeshangaa ni leo. Katika pita pita zangu youtube kuna mchambuzi wa soka nilikuwa namheshimu sana anajiita Dr. Mo nikamsikia akimsifia huyo Freddy kisa jana katupia dhidi ya KVZ eti apewe muda ni mfungaji mzuri. Freddy huyu huyu mwenye umbo la mpira na kimo kirefu lakini hawezi...
  2. J

    Wakuu wa wilaya na Mkesha wa Muungano, watakesha na akina nani? Wasiwasumbue watumishi wa Umma

    Hilo eneo la mkesha wahakikishe watu wa usafi wamefika kufanya usafi kabla ya saa kumi na mbili asubuhi vinginevyo yatakuwa yale yale ya mikesha ya mwenge kuzagaa "kwa msaada wa marekani"
  3. J

    Dar: Barabara ya Jangwani imefungwa kutokana na mafuriko

    Vipi bado Jangwani bado hapapitiki? Wameshatoa tope au bado?
  4. J

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Haina mkuu natumia kitochi
  5. J

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Ndugu haufahamu vizuri tabia za mamba. Hilo dude la hovyo sana likiwa na njaa halina aibu wala nini. Likizidiwa na njaa linakamata binadamu hata nje ya maji japo nje ya maji ni mara chache sana na linakuwa halina nguvu sana kama linapokuwa ndani ya maji. Kama kweli mamba ameonekana wajulisheni...
  6. J

    Nipe ratiba ya mstaafu aliyekaribu nawe

    Kabisa ndugu mkuu na bado anaonekana atapiga zaidi. Lakini naamini kilichomsaidia zaidi hakuwa mnywaji wa pombe kabisa.
  7. J

    Nipe ratiba ya mstaafu aliyekaribu nawe

    Kama mdau alivyotangulia kusema hapo juu na mimi naongezea kidogo. Kabla ya kustaafu hakikisha una eneo angalau eka moja haijalishi ni mjini au nje ya mji. Jifunze ufagaji kuku hasa wa kienyeji ambao ufagaji wake hauna "stress" na pia jifunze kilimo cha bustani za mboga. Ukilipangilia hilo eneo...
  8. J

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Ubarikiwe. Vipi barabara ni lami, changarawe au vumbi na je inapitika kwa gari ndogo muda wote wa mwaka?
  9. J

    CCM yaanza kulamba matapishi yake

    Watadanganya wajinga tu tena zama hizi za mitandao watanzania wajinga wanapungua kila siku. Esther Bulaya kwa hili la kikokotoo huyu dada apewe maua yake. Ndiye mbunge peke yake aliyepinga ubovu wa kikokotoo toka siku ya kwanza mpaka leo hii. Hao wabunge wengine walikipitisha kwa mbwembwe na...
  10. J

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Nisaideni nikiwa Moshi Arusha highway unaingilia wapi kueleka huko? Na ni kilomita ngapi kutoka barabara kuu kufika huko? Je njia ya kufika huko inapitika kwa mwaka mzima kwa gari ndogo amabayo haina fourwheel? Nataka kufanya utalii wa ndani huko baadaye mwaka huu.
  11. J

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    Nimepita sana Moshi Boma Arusha naisikia sana hii Kikuletwa hivi ipo karibu na wapi na ni kilomita ngapi kutoka njia kuu ya Moshi - Arusha. Pamoja na huyo mamba panonekana ni sehemu nzuri kwa utalii wa ndani.
  12. J

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Huyo mbunge Neema anasema baada ya kuelimishwa kaona kikokotoo kipo vizuri basi angetumia muda aliopewa na spika kuwashawishi wabunge wenzake nao waanze kukitumia. Na ikifika mwakani bunge linapovunjwa wasipewe mamilioni yao yote kwa mkupuo badala yake wapewe 33% halafu zinazobaki wapewe kidogo...
  13. J

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Kutoka mkoa gani au jumiya gani ya Chama cha Mapinduzi?
  14. J

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Ahadi mojawapo ya chama chetu kikongwe inasema binadamu wote ni sawa - 1. Kikokotoo kinachotumika kwa wafanyakazi kuanzia sasa kianze kutumika pia kwa wabunge wetu kwani watanzania wote ni sawa. Na kikubwa zaidi hata mbunge Neema kasema ni kizuri. 2. Viti maalum viondolewe ili kila anayetaka...
  15. J

    Mo Dewj asema atazungumza na Wana Simba Instagram ili Wafanye usajili wa kishindo

    Nimeangalia "clip" ya MO nimejiridhisha kuwa katika matatizo makubwa iliyonayo Simba basi Mo ni jipu namba moja linalohitaji kutumbuliwa tena haraka sana. Toka lini mashabiki wenye uwezo na uelewa tofauti wakafanya kazi ya kitaalamu ya kusajili na kutimua wachezaji? Je kazi ya benchi la ufundi...
  16. J

    Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

    Ondoa Aubin Kramo na Miquison kwenye hiyo listi yako hao bado ni wachezaji wazuri ambao wanaweza kuisaidia sana Simba msimu ujao. Ila Ongeza Babcar Sarr kwenye list yako kwa wale wa kuondolewa Simba. Na hapo kumrudisha babu Onyango weka beki mmoja king'ang'anizi mwenye akili kubwa sana ya mpira...
  17. J

    Simba mnatutesa ila jipu la kuonekana haraka ni Benchika

    Benchika mtamuonea bure. Majipu pale Simba yapo matatu Try Again, Mangungu na Kajula. Hivi pesa waliyotumia kuwasajili Freddy na Jobe unapata wakina Lusajo wangapi ambao wanaweza kufanya kazi ya kiume uwanjani. Huyo Freddy mwili jumba na ameenda hewani sekunde lakinu bure kabisa. Krosi...
  18. J

    Nataka Kumroga Mo Dewji aiachie Simba SC yetu mwenyewe, je nitapata wapi Mganga hatari?

    Nadhani Mo kazeeka sasa. Mo kijana alikuwa akiona tu kocha anazingua anamtimua fasta. Sasa hivi kamuachia timu Try Again ambaye timu imemshinda kabisa kuongoza lakini cha ajabu hajamtimua mpaka leo.
  19. J

    Mo Dewji soka ni siasa na kwa Tanzania ni dini, ondoa Try Again, Mangungu na umuonye Imani. Simba fans tunakusihi kwa sababu wakati ni ukuta...

    Try Again na Mangungu wameshaonesha kuwa hawaujui mpira na fitina zake na ndio maana sasa hivi Simba imekuwa timu ya hovyo kabisa. Na inaonekana kama vile watu wanaojua mpira Simba na wanaoweza fitina za mpira wakina Magori na Kaduguda japo bado wapo Simba lakini ni kama vile wamekaa pembeni...
Back
Top Bottom