This is kind of thinking zimefikisha na kutuweka hapa tulipo, watumwa walikua wanakaa wanasema Mungu anawaona anawaathibu yaa yaa!!! baada ya kudestroy Generation after generation after generation, the day walipoanza kufight kwa haki zao Mungu akawasaidia kua free, Dont get me wrong naamini...
kuna vitu vingi ni vya kipuuzi kwenye maubiri ya huyu jamaa, kitu kilichosimama kwangu ambacho hata kwa upuuzi huu sikielewi, ni kwamba anaonekana kuamini sheik Aboo ameuawa na serikali, lakini anaadvocate auliwe padri, baadaye ana somewhat compromise kuuliwa kwa vipolice alivyotamka, ok padri...
Achaani ujinga usilinganishe Kiingereza na kiswahili basi kama ni hivyo ukitoka Usukumani huna haja ya kijua kiswahili ongea tu kisukuma, Kuongea lugha nyingi kunakuongezea usahi na upana wa mawasiliano na kingereza ni lugha kubwa sana so ni plus kuijua zaidi ushamba huu huu ndio unatuweka hapa...
Is sad Chadema always try to fight from behind, unajua nyinyi ni timu changa mnaachia mabao 5-0 then try to come back, walitakiwa wawaweke wananchi sawa, walie faulu ways before before CCM hawajacheza foul, ilikua inajulikana, may be, just may be momentum ingekua imebuild up na kuwascare kidogo...
Kuhusu katiba na mchakato wake naamini kila kiumbe alielewa serikali ya CCM na kikwete ingefanya, na wamefanya walivyo tarajiwa, kinacho sikiticha ni CDM wanavyoonekana wakitapatapa, hawakua na plan kabisa mara watoke inje ya bunge, mara waombe kuongea kuongea na mtu aliye plan na kuandaa...
Yaani huu ni upupu unaoniudhi kuhusu Fikira za baathi ya wazembe fulani Bongo kwani kupanga mstari ni physical issue au ni wadhifa wa mtu alinao au aliwahi kua nao, na amini kuna Wazee kibao ambao physically wanahali mbaya zaidi ya huyu ex waziri na wamejipanga mstari, huu ni utaratibu tu sio...
Kuna habari Membe aliongea na Maaskofu huko Mwanza kawaambia kuna Faida ya kuingia kwenye OIC tutafaidika na misaada, akufafanua masharti ya jumuia hiyo.
My take is this:
Ungekua so upset kwa kiongozi wa nchi kusearch jumuia kwa misaada, na unajua kuna sababu ya misaada, na sio private raia...
majority ya hao makamanda wa vita ya ufisadi hawako kwenye unyoofu!!!
Kinachouma posho zenyewe ni shilingi ngapi jamani? si warudishe tu na kusema hawakujua yaishe... waweza kuta ni sh 90,000 kwa siku zinawachafua
suala si kiwango cha pesi , ni mbinu ya mafisadi wanayokuja nayo kugeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.