Jamani kama kuna mtu anafahamu hawa Tumaini University Makumira wanatoa lini majina ya waliochaguliwa second round atujuze maana nimechoka kuangalia profile yangu TCU ikiwa imeandikwa Waiting for Approval.
Hawa jamaa wapo serious kweli? siku za vyuo kufunguliwa zimeisha sana na wanafunzi...
Ni kweli mkuu nakumbuka kwenye tangazo lao walisema mtu unaweza apply nafasi mwisho mbili kama una fit.Natumai hao wali apply kwenye post mbili tofauti
Ndugu wana Jamii Forum
Tafadhali shiriki nasi katika kutia shinikizo na msukumo ili serikali itenge bajeti ya kutosha mwaka 2014 na kufikia malengo yake kama ilivyo ahidi.
takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake 8700 nchini Tanzania hupoteza maisha kila mwaka kutokana na matatizo ya uzazi...
Dah nimeshtuka kwasababu dogo wangu nimemsindikiza leo kwenda Muheza shule! Ila siyo hayo mabasi. Poleni nliopatwa na maswahibu
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kati ya siku niliyoshinda kwa raha ni leo, ushindi wa kamanda na mpiganaji mwezetu Lema ni ushindi wa watanzania wote hususani wapenda mabadiriko. Tuungane kuutimua uongozi wa magamba.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
HakiElimu nimeona wameanzisha kampeni ya kuboresha elimu ya awali, Binafsi naona hili ni suala la kizalendo sana hasa ukiangalia elimu yetu inavyokwenda mrama, mpaka inafikia watu wanamaliza std vii hawajui kusoma na kuandika.
Tuchangieni mawazo jamani kwenye mitandao yao, nimeiona hii page ya...
vipi wakuu hapa beach wanauza pia urojo kama wa koko beach?yaani mihogo, madafu, urijo urojo hahahaaaaaaa.kweli duniani sisi tutabaki kuwa wasindikizaji.
na dodoma jamani inahitaji kuzinduliwa jamani.
tupo tayari kuichangia chadema kupiga operation kadhaa mikoa hii ikiongonzwa na rais wetu wa 2015, dr slaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.