Nashukuru sana mtoa hoja ulianza vzur sana mwanzoni kwa kueleza bei halis ya Electronic Fiscal Divices (EFD) ni kwel kabsa znapatikana kwa bei hiyo ila mwishon epotosha uma kwa kusa ni njia ya kukwepa kulipa kodi sio sahihi bali wanachogomea wafanya biashara huku mby ilikua ni bei ghali ya hzo...
Speaking from hotuba ya leo mh rais kaongea mambo ya mcngi sana katiba ni issue ya taifa zima sio ya makundi fulan either ya dini, siasa au kabila fulan ni ya taifa lote ni lazima tuweke pemben ili tupate katiba nzur .... .
Ni lazima tufike mahali tukubar kwamba institution yoyote inayomilikiwa na government huwez kulinganisha private institution like Vodacom and TTCL, bas hvyohvyo Hata kwel hzo televisions mambo ni Yale Yale ....
Pombe ni mzuka kabla ujanywa ukipanga nikinywa ntafanya hiv au vile bas ukilewa tu utaanza kufanya vivyovivyo.unywaji wa pombe kupita kias ni hatar na sumu kwa afys yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.