Hii kitu ipo sana tu,binafsi nimeshazoea kabisa hiyo hali ya uwepo wa takataka kwenye sukari hasa hizi tunazonunua madukani.Cha muhimu kumuomba Mungu atuepushe na maradhi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashekh huwa hawachukui pesa za kitapeli ndio maana,wao hupenda chumo la halali sio km kanisan watu wanatapeliwa eti kufufuliwa maiti mara wagonjwa kupona kumbe ni mitego ya kutapeli wapumbav km nyie msioelew mbele wala nyuma!
Labda ww mwenyewe tu haujui kutumia jiko lako la gas kupikia wali.binafsi ni mwaka wa 7 huu natumia gas pekee kwa vyakula vyangu vyote ktk level ninayoihitaji na haijawahi kuniangusha.
Hata maharage inapika vizuri tu sema labda hujui unapikaje,mchawi wa matumizi bora ya gas ni sufuria iitwayo pressure cooker,nusu saa tu maharage unakula!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.