Search results

  1. T

    Rais Kikwete asaini Muswada wa Katiba

    Changa la macho,tusubiri tuone hiyo tume na michakato ya ushirikishwaji wa raia,CDM nao siasa zimewajaa but hawana maslai yoyote kwa raia zaidi ya kuwatafutia matatizo na vifo tu kwa upuuzi vitu vya msingi kama katiba na upandaji wa bei holela hawaandamani ss sijui huwa wanaandamana kwa ajili ya...
  2. T

    Mh. Mbowe aongelea yaliyojiri Ikulu

    Ama kweli siasa ni mchezo mchafu,sioni nini walichoenda kufanya ikulu na mswada ukasainiwa while walituambia wanaenda kumshinikiza Rais asi saini mswada na asipoelewa maandamano nchi nzima,hayo ndio matok,IMANI IMETOWEKA NA HAO CDM!
  3. T

    Dr Slaa alipokuwa CCM

    we blv in him1
  4. T

    Siri Imefichuka! Babu wa Loliondo ametumwa na Shetani

    ukiwa na imani hata ww utapona coz hta shetani anaweza kufanya hvyo!
  5. T

    Blog ya Slaa

    Ni mfano mzuri kuwa na blog
  6. T

    Hodi wana jamiiforums

    ur warm welcome!
  7. T

    Mtoto mwenye karama za ajabu aibuka jijini

    This is liar hamna ki2 kama hicho!
  8. T

    Mlinzi wa Makamu Rais Dr Shein auwa kwa risasi

    walinzi wetu wana matatizo sana
  9. T

    Elections 2010 Slaa Akata Anga Morogoro

    ufisadi au kuitwa wezi sio lugha za matusi jamani wanataka lugha gani zitumike!
  10. T

    Kupita bila kupingwa - is this democracy too?

    kumbe ndio hvyo sasa ina maana tume hailijui hilo?
  11. T

    Matukio Tisa yaliyomdhalilisha Rais Kikwete 2006-2010

    kama hilo la uzinduzi wa hotel ni aibu kweli kweli coz yeye hakuona kwamba ipo road au ndio mambo yetu yaleeeeeeeeeee!
  12. T

    Al-Shabaab wavamia hoteli na kuua wabunge 6...!

    poleni kwa matatizo!
  13. T

    Elections 2010 Dr. Slaa awe kiongozi mkuu wa Chadema kuelekea Uchaguzi Mkuu?

    Itabidi awe mweyekiti ili tuende sawa na msingi ya utawala wa mgombea uraisi!
  14. T

    Mmepoteza Ubunge kwanini bado ninyi mawaziri?

    kweli inashangaza!!!!
  15. T

    Elections 2010 Dr. Slaa: Mambo makuu matatu nitakayofanya nikichaguliwa kuwa Rais

    Mimi namtakia kila la heri na maombi tele ili atimize ndoto zake!!
  16. T

    Elections 2010 CUF-Uislam, CHADEMA - Ukristo, CCM - Mixture+UFISADI, Mungu epusha

    Suala la udini na siasa tuliweke mbali kwani Mungu alipootuumba hapakuwa na mambo ya sisi wakristo sisi waislaam wote familia moja la msingi ni kuchagua kiogozi bora bila kuweka udini!
  17. T

    Kikwete aanguka ghafla Jangwani...! (CLOSED)

    imekuwaje hiyo coz hata mimi nemeipata mchana but issue sijaelewa,sasa baada ya hapo kapelekwa wapi?
Back
Top Bottom