Changa la macho,tusubiri tuone hiyo tume na michakato ya ushirikishwaji wa raia,CDM nao siasa zimewajaa but hawana maslai yoyote kwa raia zaidi ya kuwatafutia matatizo na vifo tu kwa upuuzi vitu vya msingi kama katiba na upandaji wa bei holela hawaandamani ss sijui huwa wanaandamana kwa ajili ya...
Ama kweli siasa ni mchezo mchafu,sioni nini walichoenda kufanya ikulu na mswada ukasainiwa while walituambia wanaenda kumshinikiza Rais asi saini mswada na asipoelewa maandamano nchi nzima,hayo ndio matok,IMANI IMETOWEKA NA HAO CDM!
Suala la udini na siasa tuliweke mbali kwani Mungu alipootuumba hapakuwa na mambo ya sisi wakristo sisi waislaam wote familia moja la msingi ni kuchagua kiogozi bora bila kuweka udini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.