Naunga mkonyo hoja, Shaurimoyo Manzese, Tandale Buguruni Vingunguti, Ubungo maji kwa kuanzia wavunje vibanda umiza vyote nyumba za hovyo mabati yamejaa kutu tupu kama huamini shuka na ndege uone Dar ilivyo mbaya
Njoo usafishe walau majirani zako tukujue mnachelewesha sana maendeleo ukijenga mtaa unachangamka sasa wewe unabanana Manzese huko badala ya kuja kujenga plot yako
Ni juzi kati tu hapa 2012 nilinunua nusu heka Chanika zingiziwa kwa 1.2M nenda sasa kaulize bei yake ilivyochangamka, watu wanaenda kununua Mvuti huko kuelekea Dondwe
Hela ziliisha miezi miwili tu sasa wanapambana na kodi za nyumba Dom na kama hukujenga Dar utalipa kodi sehemu mbili na matumizi utume Dar na wewe ubakize zako za kujikimu, nasema hv sababu watu wengi hawajahamisha familia bado ziko Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.